
- Joined
- Feb 16, 2010
- Messages
- 10,794
- Likes
- 2,829
- Points
- 280

KakaKiiza
JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010



Mimi nimekuwa na mpenzi wangu takribani mwaka na miezi mitatu sasa kwakusema ukweli ninahisi kumchoka yeye ndokwanza kumekucha sasa kumuacha kiolela na muonea huruma!!Na nilisha onywa nisiweke base mimi nikaona kuweka base ndo mpango sasa nifanyeje au ni mumwage yataisha?