The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,531
- 1,735
Ulimtongoza wa nini, by the way kama ni mzuri nipe namba yake nipite nae alafu ujidai ume mind umuacheHuyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto. Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa maana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.
Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje. Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.
Nitumie njia gani kumuacha ili asijisikie vibaya ?
Karibuni