Fasouls, samahani naomba kuuliza swali. Ulifanikiwa kumaliza kusoma? Je ulipata division ngapi? Au bado unasoma? I can read btn the lines that you still a lower level in school or you complited by a failure![/QUOTE masomo nilimalza form six mwaka jana!! Kwel nilikuwa ktk matatzo makubwa ila nashukuru nilipata div2 na sasa naingia mwaka wa pili! Ila nko nyumban na hilo jmama lipo!
jaman naomba ushauri!! Hilo pia ni tatzo! Mi sio njuka naingia mwaka pili sasa udsm na wala sikudisco!haka kadogo naona hapa si mahala pake kumbe tumeingilliwa na watoto humu, sisi na ukubwa wetu tunasimuliwa ujinga, tena na njuka, ktungekuwa na ujinga kama wako wala tusingefika tulipofikia,bora uandike msg za kuomba ushauri ktk elimu na namna ya kujikwamua na hali tegemezi.'huna adabu
na jimama kama hilo linadhalilisha wanawake wenzake kwa kupenda vijana! Tena ni mwalimu wa shule ya msingi!<font size="3"><span style="font-family: trebuchet ms">Huo sio ujanja...nyie ndio mnatudharaulisha wanaume kwa matendo kama haya...<br /><br />
Shame on you..</span></font>
<br />haka kadogo naona hapa si mahala pake kumbe tumeingilliwa na watoto humu, sisi na ukubwa wetu tunasimuliwa ujinga, tena na njuka, ktungekuwa na ujinga kama wako wala tusingefika tulipofikia,bora uandike msg za kuomba ushauri ktk elimu na namna ya kujikwamua na hali tegemezi.'huna adabu
Sasa unataka ushauriwe ni wakati majibu yote yapo wazi, haya ushauri wangu ni huu;Zingatia hayo.
- Achana na huyo mama mwenye nyumba ambaye tena ni mume wa mtu! Hebu fikiria mtu akimchukua huyo unayemuita girl friend wako uchungu wake utakuwaje sembuse mke wa mtu!
- Zingatia sana masomo, mapenzi yapo tu tena utayachoka
- Siku nyingine uachane kabisa na issue za mahouse girl, uzoefu wengi wameishia kuwapa mimba na kupata usumbufu usio wa lazima.
- Jiwekee malengo yako na uyasimamie ili yawe nusra kwako badala ya kwenda zig zag
nakushauri shikilia elimu kwanza hayo mambo mengine ni by the way tu..................ukishapumuliwa kisogoni na mume wa jimama tunaomba uruid tena jamvini kututaarifunilimaliza mkuu....form six last year div2
<br />sio kicheche mkuu!! Sijawahi ku-do naye bila condom! Ahsante kwa kukazia!