Nimemchanganya mama mwenye nyumba na house girl wake!! Part oNE!

Mbona hata hayupo humu!! au ndo kaenda kwnye apointment y huyo mke w m2.
 
haka kadogo naona hapa si mahala pake kumbe tumeingilliwa na watoto humu, sisi na ukubwa wetu tunasimuliwa ujinga, tena na njuka, ktungekuwa na ujinga kama wako wala tusingefika tulipofikia,bora uandike msg za kuomba ushauri ktk elimu na namna ya kujikwamua na hali tegemezi.'huna adabu
 
Fasouls, samahani naomba kuuliza swali. Ulifanikiwa kumaliza kusoma? Je ulipata division ngapi? Au bado unasoma? I can read btn the lines that you still a lower level in school or you complited by a failure![/QUOTE masomo nilimalza form six mwaka jana!! Kwel nilikuwa ktk matatzo makubwa ila nashukuru nilipata div2 na sasa naingia mwaka wa pili! Ila nko nyumban na hilo jmama lipo!
 
haka kadogo naona hapa si mahala pake kumbe tumeingilliwa na watoto humu, sisi na ukubwa wetu tunasimuliwa ujinga, tena na njuka, ktungekuwa na ujinga kama wako wala tusingefika tulipofikia,bora uandike msg za kuomba ushauri ktk elimu na namna ya kujikwamua na hali tegemezi.'huna adabu
jaman naomba ushauri!! Hilo pia ni tatzo! Mi sio njuka naingia mwaka pili sasa udsm na wala sikudisco!
 
&lt;font size=&quot;3&quot;&gt;&lt;span style=&quot;font-family: trebuchet ms&quot;&gt;Huo sio ujanja...nyie ndio mnatudharaulisha wanaume kwa matendo kama haya...&lt;br /&gt;<br />
Shame on you..&lt;/span&gt;&lt;/font&gt;
na jimama kama hilo linadhalilisha wanawake wenzake kwa kupenda vijana! Tena ni mwalimu wa shule ya msingi!
 
<font size="3">mnh hvi hata shule umemaliza kweli...................a umemaliza ulifaulu?<br />
baada ya majibu ya maswali haya tunataka ssa PART TWO</font>
nilimaliza mkuu....form six last year div2
 
<font size="3">mnh hvi hata shule umemaliza kweli...................a umemaliza ulifaulu?<br />
baada ya majibu ya maswali haya tunataka ssa PART TWO</font>
nilimaliza mkuu....form six last year div2!
 
Hopeless,Mke wa mtu sumu ngoja mume wake ajue kama hajakufanya kitoweo...afu tamaa ya macho huponza moyo na kuishia kaburini.take care
 
unaonekana kicheche sana mkuu by the way ishike sana kondomu siku za ujana wako
 
Una Gf, na bado unamtaka huyo X-Houcgel, bado ume-mdandia mke wa mtu, na unaogopa kuingia kwenye hatari....kweli we hujitambui.
sikuwa na girlfriend kipindi hicho! Girlf nimempata baada ya kuanza chuo!
 
haka kadogo naona hapa si mahala pake kumbe tumeingilliwa na watoto humu, sisi na ukubwa wetu tunasimuliwa ujinga, tena na njuka, ktungekuwa na ujinga kama wako wala tusingefika tulipofikia,bora uandike msg za kuomba ushauri ktk elimu na namna ya kujikwamua na hali tegemezi.'huna adabu
<br />
<br />
we sema watoto uskute hilo jimama ndo mkeo badala ya kuhoji vizuri uondoe mashaka
 
Sasa unataka ushauriwe ni wakati majibu yote yapo wazi, haya ushauri wangu ni huu;
  1. Achana na huyo mama mwenye nyumba ambaye tena ni mume wa mtu! Hebu fikiria mtu akimchukua huyo unayemuita girl friend wako uchungu wake utakuwaje sembuse mke wa mtu!
  2. Zingatia sana masomo, mapenzi yapo tu tena utayachoka
  3. Siku nyingine uachane kabisa na issue za mahouse girl, uzoefu wengi wameishia kuwapa mimba na kupata usumbufu usio wa lazima.
  4. Jiwekee malengo yako na uyasimamie ili yawe nusra kwako badala ya kwenda zig zag
Zingatia hayo.

Mke wa mtu.
 
nilimaliza mkuu....form six last year div2
nakushauri shikilia elimu kwanza hayo mambo mengine ni by the way tu..................ukishapumuliwa kisogoni na mume wa jimama tunaomba uruid tena jamvini kututaarifu
 
Kumbe ulikuwa na demu wako sasa huyo beki 3 ulikuwa unatafuta nini kwake? Soma acha ngono dogo utakuja bokolewa na ukwasi wako.....Mada ya kitoto hii mbona unatudanganya watu wazima....Kama unamuogpa demu wako iweje umkubalie mama mwenye nyumba? Na kama una mpezni wako yanini useme una ukwasi ili hali ukijua demu wako anaweza kukutimizia haja zako. Ondo upupu humu we ndugu vp?
 
sio kicheche mkuu!! Sijawahi ku-do naye bila condom! Ahsante kwa kukazia!
<br />
<br />
maana ya kicheche sio ku do peku peku,yaan we unakua ka bata kila sehemu unaharisha...ukitaka kuamin hilo hata akitokea jimama mwingine tena kesho utamkubalia,Mshipa wa kuwa na mpenzi umeshakatika i mean...afu kutembea wake za watu ni ugonjwa ambao mara nyingi dawa yake huwa ni kutembea na mwenye mke...
 
Komaa na masomo kijana, haya mambo ya kutembea na wake za watu yatakuponza.
 
hii sinema mbona ya kihindi hatujui kama star atakufa at the end..ningehitaji kupata part two yake...tupe part two mkuu..
 
Back
Top Bottom