Nimemchana Ukweli Mke mtarajiwa

Nimemchana Ukweli Mke mtarajiwa

Utakuwa mganga wa kienyeji siyo kwa roho mbaya hiyo kama korosho.
 
Yani unakuja kujisika kabisaa!... Bado hujafikia kuwa na familia wewe jitafakali kwanza.ila kama umeandika ukweli!.
 
Halafu mkija kugongewa wake zenu mnalalamika, sio kwa ubahili huo tena huyo atakuwa sio mkeo mtarajiwa huwezi mfanyia hivyo, kama ni Mimi namwambia hakuna shida hata wiki atakaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwani kakosea nini hapo?
Mbona tena kawa mstaarabu kabisa kakupa taarifa mapema!
Labda sema tu kuwa uwezo wa kuwahudumia ndio huna lakini hata hivyo sidhani kama huo uwezo wa kula nao kwa hiyo siku moja huna. Nahisi ni roho mbaya tu!

Kama ni mkeo mtarajiwa atakuwa anaijua hali yako kiuchumi labda kama huwa unamdanganya hali yako. Kwa hiyo hata akija akashindia maandazi hatashangaa kama anaijua hali yako na pengine amejipanga kukusaidia wawapo hapo kulingana na hali yako ilivyo!

Kiujumla huna upendo hilo haliwezi kuishia kwa huyo tu, hata kwa ndugu zako inaonekana huwezi kuwasaidia kwa roho hiyo!
Mi ninavyompenda mchumba wangu lazima niwapende na ndugu zake na ndivyo ninavyofanya na ndiyo furaha na amani yangu ilipo!
Hakuna kitu nafurahi kusikia mchumba wangu akinieleza jambo kutaka msaada kwangu maana yake ananiamini(hapa nasemea mambo ya msingi) na huwa sina hiyana kabisa kumsaidia.

Umeniangusha sana brother. Bado hujakomaa kifikra kufikia hatua ya kutaka kuoa maana hujajipanga kimajukumu!

Najua hii ni story tu ila una mawazo ya ovyo!
Anajishushia hadhi hapo angesema bebi nakuja kwako kulala nikupe penzi asingeandika hayo ya uje na unga tusiwe papuchi oriented
 
Sasa kwani kakosea nini hapo?
Mbona tena kawa mstaarabu kabisa kakupa taarifa mapema!
Labda sema tu kuwa uwezo wa kuwahudumia ndio huna lakini hata hivyo sidhani kama huo uwezo wa kula nao kwa hiyo siku moja huna. Nahisi ni roho mbaya tu!

Kama ni mkeo mtarajiwa atakuwa anaijua hali yako kiuchumi labda kama huwa unamdanganya hali yako. Kwa hiyo hata akija akashindia maandazi hatashangaa kama anaijua hali yako na pengine amejipanga kukusaidia wawapo hapo kulingana na hali yako ilivyo!

Kiujumla huna upendo hilo haliwezi kuishia kwa huyo tu, hata kwa ndugu zako inaonekana huwezi kuwasaidia kwa roho hiyo!
Mi ninavyompenda mchumba wangu lazima niwapende na ndugu zake na ndivyo ninavyofanya na ndiyo furaha na amani yangu ilipo!
Hakuna kitu nafurahi kusikia mchumba wangu akinieleza jambo kutaka msaada kwangu maana yake ananiamini(hapa nasemea mambo ya msingi) na huwa sina hiyana kabisa kumsaidia.

Umeniangusha sana brother. Bado hujakomaa kifikra kufikia hatua ya kutaka kuoa maana hujajipanga kimajukumu!

Najua hii ni story tu ila una mawazo ya ovyo!
Anajishushia hadhi hapo angesema bebi nakuja kwako kulala nikupe penzi asingeandika hayo ya uje na unga tusiwe papuchi oriented
 
Kusikitika nimeshindwa wala kulia nimeshindwa, imebidi tu nicheke walah. Km waoaji ndio hawa bora kutokuolewa tu.
 
Hiyo siku moja tu aje na chakula chake, je ukimuoa utaweza kumlisha?
Nway najua ni chai tu hyo.
 
Back
Top Bottom