Handsome man
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 880
- 956
We unaonaje labda kwenye hicho kipengeleAre you sure
We unaonaje labda kwenye hicho kipengeleAre you sure
Andika vizur bas na wwchuo cha mic2 unasomea mambo ya mic2, mazao ya mic2, ubwana mic2, ni koz nzur japo kma unataka kuwa na uwanja mpana wa kujiajr coma mambo ya mifugo kwny vyuo vya lita hutojuta mkuu
Nilipataga GPA 1.4
Cvs E
Geo E
Phys E
Chms C
Bios. B
Engl C
Hist C
Kisw D
Math f
Kwann ulirudia ??.. ona sasa umejchelewesha adi ndalichako kapewa wizara ....Nili rudiaga paper ila napo duh
mkuu nimefatilia ushauri wako mzuri ila hilo neno mic2 nimelielewa baada ya mtoa post kutaja Iringa nikajua ni " misitu" Duuuh hongera mkuuhapo sawa mkuu kule utapata ujuzi zaidi juu ya mazao ya mic2 zaid ya mbao pia unaweza 2mia kfuga nyuki pia ukwa unazlsha asal hko utapat elmu zaid juu ya hyo maswala
Haha taratib tutafikaShika jembe nenda shambani alaah
Akiwa mphamasia anaweza kujiajiri hapo baadae akipata mtaji wa kutosha na biashara yake inalipa,akisoma clinical officer ajira zake sio ngumu sana na hospital nyingi bado zinauhitaji sana wa clinical officers, lakini nursing tena certificate atasugua bench sana mtaani bila ajira wengi wao wanaishia kujitolea hospital binafsi, halafu mmiliki wa hospital anakwambia atakuwa anakulipa laki moja kwa mwezi! Inabidi ufanye tú huna namna!thats why nimemshauri asiguse nursing kwanza graduates wa hiyo kozi ni wengi sana kila mwaka afadhali uwe hata na diploma yake kuliko certificateKwanini asiguse nursing mheshimiwa?
Nadhani nimekupata, kwa hiyo mtu anayesoma diploma nursing angalau value yake itakuwa kubwa?Akiwa mphamasia anaweza kujiajiri hapo baadae akipata mtaji wa kutosha na biashara yake inalipa,akisoma clinical officer ajira zake sio ngumu sana na hospital nyingi bado zinauhitaji sana wa clinical officers, lakini nursing tena certificate atasugua bench sana mtaani bila ajira wengi wao wanaishia kujitolea hospital binafsi, halafu mmiliki wa hospital anakwambia atakuwa anakulipa laki moja kwa mwezi! Inabidi ufanye tú huna namna!thats why nimemshauri asiguse nursing kwanza graduates wa hiyo kozi ni wengi sana kila mwaka afadhali uwe hata na diploma yake kuliko certificate
Kwa matokeo haya unaweza kusoma clinical officer, pharmacy na environmental science ama kilimoNimemaliza 2012 nkapata four ya point 29
Cvs D
Kisw D
Geo D
Phsc D
Chem D
Bioa D
Engl f
Hist f
Math f
Ushaur nixome coz ipi
NdioNadhani nimekupata, kwa hiyo mtu anayesoma diploma nursing angalau value yake itakuwa kubwa?
Sawa MKUU nimekuerewaKwa matokeo haya unaweza kusoma clinical officer, pharmacy na environmental science ama kilimo
All ar mine c nli rict au ujaonaaga nilipo andika kua nilirudiaga form four auNimemaliza 2012 nkapata four ya point 29
Cvs D
Kisw D
Geo D
Phsc D
Chem D
Bioa D
Engl f
Hist f
Math f
Ushaur nixome coz ipi
Ni matokeo yapi sahihi kwako, kuwa na kumbukumbu ni kitu muhimu sana