daudi jeminusi
New Member
- Sep 26, 2017
- 2
- 1
Mimi nimemaliza kidato cha nne ila nimekosa wastani wa kujiunga na kidato cha tano sasa nilikuwa naomba ushauri wenu.
Mimi nina wastani wa kujiunga na chuo sasa mpaka saa hizi sijajua nikasomee kozi gani ambayo itakuwa ni faida kwangu na kwa inchi nzima ila samahani naombeni ushauri wenu.
Mimi nina wastani wa kujiunga na chuo sasa mpaka saa hizi sijajua nikasomee kozi gani ambayo itakuwa ni faida kwangu na kwa inchi nzima ila samahani naombeni ushauri wenu.