babyyuxuph
Member
- Jun 13, 2017
- 80
- 34
chuo cha mic2 unasomea mambo ya mic2, mazao ya mic2, ubwana mic2, ni koz nzur japo kma unataka kuwa na uwanja mpana wa kujiajr coma mambo ya mifugo kwny vyuo vya lita hutojuta mkuu
Acha mambo yako wewe wat wasoma kwa changa mono ila wakipat fursa wana Fanya wanda kaulize nilipopata fursa ya kupga hyo coz ya CHWs nilifanyaje usihukumu tu badala ya kutoa ushaur WA kujenga una leta umtaa we jamaa huna busaraIaoshesha kitabu hakikuendi mi nakushauri urudi shamba
Saw ila nilisomaga hii coz ya mwaka mmoja inaitwa community health sasa sijui niendelee au Nipige chinichuo cha mic2 unasomea mambo ya mic2, mazao ya mic2, ubwana mic2, ni koz nzur japo kma unataka kuwa na uwanja mpana wa kujiajr coma mambo ya mifugo kwny vyuo vya lita hutojuta mkuu
AsantKama ulisoma combination ya science kasomee science courses but uwe na pass marks za Physics, mathematics na geography, chemistry and biology
Kasomee course zifuatazo ukianza na certificate.
1. Water and pipe engineering
2. Agricultural science (pass in biology & chemistry)
3. Food and nutrition ( must have biology and chemistry pass)
4. Information technology (I.T)
5. Social science
N.B udaktari usisahau kama una hobbie since udogoni
Ukipasua hapo vizuri mdogo wangu utakua umefika mbali mno.
Waliosoma wanahangaika na vyet vyaoAcha mambo yako wewe wat wasoma kwa changa mono ila wakipat fursa wana Fanya wanda kaulize nilipopata fursa ya kupga hyo coz ya CHWs nilifanyaje usihukumu tu badala ya kutoa ushaur WA kujenga una leta umtaa we jamaa huna busara
Yeah that's point en not more than besteWaliosoma wanahangaika na vyet vyao
Jiongoze
Kutoka sio lazima usome
Athante MKUU mwakani misitu naomba kwani nataka kua mkulima WA mbaohpo angalia na knacholpa coz tz ye2 hii n kufnya knacholpa fasta mifugo waweza jiajar ukpga hela hyo cmnty health unaweza jiajr au hd uajriwe n mtazamo2 lkn
Yea nshaanza mipango ya kunnua shamba iringa ili nipande seprachahahaha vyema mkuu angalia pia na mifugo au napenda mic2 peke yake
Kwa upande wa afya soma pharmaceutical au clinical officer anza na certificate,usiguse nursing!out of that soma IT. Ajira zake sio ngumu kivile kwa IT unaweza kujiajili pia ukiwa smart kichwani it means unausongo na maisha! Kila la heri mdogo wangu!Mimi nimemaliza kidato cha nne ila nimekosa wastani wa kujiunga na kidato cha tano sasa nilikuwa naomba ushauri wenu.
Mimi nina wastani wa kujiunga na chuo sasa mpaka saa hizi sijajua nikasomee kozi gani ambayo itakuwa ni faida kwangu na kwa inchi nzima ila samahani naombeni ushauri wenu.
Dah mie huwa nataman ngepataga MTU WA kunishaur ngekua hata nimemaliza dp ya mc2hapo sawa mkuu kule utapata ujuzi zaidi juu ya mazao ya mic2 zaid ya mbao pia unaweza 2mia kfuga nyuki pia ukwa unazlsha asal hko utapat elmu zaid juu ya hyo maswala
Kwa certificate IFMNimemaliza 2012 nkapata four ya point 29
Cvs D
Kisw D
Geo D
Phsc D
Chem D
Bioa D
Engl f
Hist f
Math f
Ushaur nixome coz ipi
Certificate unaenda baadhi ya courseNilipataga GPA 1.4
Cvs E
Geo E
Phys E
Chms C
Bios. B
Engl C
Hist C
Kisw D
Math f
Asante ila nilismaga one year coz ya community healthCertificate unaenda baadhi ya course
Endelea na deploma ila cjui hapo unaunganisha deploma gani hiyo course km hutak kuendelea nayo kaombe nyengne certificate au angalia course gan unaweza kupata kwa kutumia hiyo community health au km hutak kuendelea nayo omba course yeyote pale NIT ukitoa za engineering deploma zpo kwa matokeo yako hayo ya o level ila ni 3 years sawa na unaeanza certificateAsante ila nilismaga one year coz ya community health
Dah na interest kubwa ya kuxm coz z afya ndg yanguEndelea na deploma ila cjui hapo unaunganisha deploma gani hiyo course km hutak kuendelea nayo kaombe nyengne certificate au angalia course gan unaweza kupata kwa kutumia hiyo community health au km hutak kuendelea nayo omba course yeyote pale NIT ukitoa za engineering deploma zpo kwa matokeo yako hayo ya o level ila ni 3 years sawa na unaeanza certificate