Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.
Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
Hili naona tangazo la kutwambia unatafuta mpenzi ila umetumia njia nyingne
Acha kupiga punyetoNatamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.
Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
Tatizo anapiga punyeto sanaIle elimu ya dini uliyopewa na wazazi wako itumie kupigana na hayo mawazo ya kulogwa. Nenda gym, punguza kula starch, kunywa maji mengi na matunda uone kama huo uchawi utakuwepo.
Njoo PM tuyajenge. Utapenda mwenyeweNatamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.
Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
punguza kale kamcheza bt napita 2Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.
Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
Uzito = 94kg
Force = ma
Force = 94*10
Force = 940 newtons
Kuna tofauti kubwa sana ya kuwa mnene na kuwa fit. Unaweza kuwa mnene lakini ukawa vizuri kiafya kuliko wembamba. Hivyo jitahidi sana kufanya mazoezi ili uwe safi kiafya na sio kupunguza mwili. Endapo target ikiwa kupunguza mwili na ukaona mabadiliko hayatokei,utakuwa frustrated na mwili utaongezeka zaidi. Fanya mazoezi kuwa fit and healthy.Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.
Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?