Naona h habari ya Ikulu ya Netanyau kushambuliwa unayo ww pekee yako dunia nzima, hongera sana kwa hilo 😂Ikulu ya netanyahu ilisambaratishwa tar 2nd March; wakamnyazisha kidogo...angalau wiki moja bila kuropoka...
Hata hivyo, Waisrael walimuua YESU hivyo kuua kwao ni kawaida.... naona damu ya Yesu ina waandama...wanawazia kuua tu...miaka yote
Hata kwenye vita ya Ukraine na Urusi mlisema hv hv maisha yatakuwa magumu, but guess what 😂kila mtu atachezea tungoje muda utaongea,ila mjiandae mfumuko wa bei maisha yatakua sio poa ndugu mashabiki
Ikulu ipi hiyo? Labda ya Chamwino. Mbabe wa Vita anadunda tuu mitaaniKama WaIsrael waliweza kumuua YESU, nini kitawashinda?
Hivi Netanyahu amekimbilia wapi baada ya Ikulu yake kusambaratishwa march 2nd?
Hata kwenye vita ya Ukraine na Urusi mlisema hv hv maisha yatakuwa magumu, but guess what 😂
Vipi, mmetangaziwa kuwa ameuwawa?.Kama WaIsrael waliweza kumuua YESU, nini kitawashinda?
Hivi Netanyahu amekimbilia wapi baada ya Ikulu yake kusambaratishwa march 2nd?
Mafuta yamepandaje wakati nusu ya hy bei n kodi ya serikali ya Tz na sio bei halisi ya mafuta?mafuta yameanza kusogea mboba mkuu sahivi dar petrol ni 2864 na diesel ni 2858,ndugu yangu kila mtu atafikiwa🤣
Gaidi namba moja ni 🇺🇸, acha kujisahaulisha.Israel mtoa roho yupo kazini..magaidi hayana nafasi katika freeworld
Yesu hakuwahi kutenda dhambi. Mambo ya dhambi yalikuwa ya mtume. Tumswalie.Yesu ALIKUFA kwa dhambi zako
Yesu ALIKUFA kwa dhambi zako
🤣🤣sijaelewa unabishana na mimi muwakilishi wa serikali ,bei imepanda banah,wanaoweka stock kusubiri bei zivurugike ni kila mtu mwenye tamaa ya kujenga faida,ila ni kosa kisheria ukikutwa na stock ba huuziMafuta yamepandaje wakati nusu ya hy bei n kodi ya serikali ya Tz na sio bei halisi ya mafuta?
Mtu amejaza mapipa ya mafuta, anasikiliza bei ipande ili nae apandishe, kwan n mara ngapi wanatangaza trh fulani mafuta yatapanda then ukienda petrol station unaambiwa mafuta Hakuna Kumbe wanasubiri trh ifike?
Mbona ipo hewani tangu 2nd MarchNaona h habari ya Ikulu ya Netanyau kushambuliwa unayo ww pekee yako dunia nzima, hongera sana kwa hilo 😂
Mtume alikuwa tapeli na malaya yuleYesu hakuwahi kutenda dhambi. Mambo ya dhambi yalikuwa ya mtume. Tumswalie.
WarumiNdiyo, lakini akina nani waliomuua?
Tatizo hapa kila mtu anafuatilia anachopenda kusikia; washabiki wengi hapa wanashabikia wale walio muua Yesu (Waisrael) as if walifanya kazi nzuri kumuua Yesu; wakati Waisrael wenyewe hata Yesu hawataki kumsikiaMtume alikuwa tapeli na malaya yule
Unataka tuwashabikie waarabu ?Tatizo hapa kila mtu anafuatilia anachopenda kusikia; washabiki wengi hapa wanashabikia wale walio muua Yesu (Waisrael) as if walifanya kazi nzuri kumuua Yesu; wakati Waisrael wenyewe hata Yesu hawataki kumsikia
Unataka tuwashabikie waarabu ?
Warumi 3
1 Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?
2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.
3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?
4 Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.
5 Lakini, ikiwa udhalimu wetu waithibitisha haki ya Mungu, tuseme nini? Je! Mungu ni dhalimu aletaye ghadhabu? (Nasema kwa jinsi ya kibinadamu.)
6 Hasha! Kwa maana hapo Mungu atawezaje kuuhukumu ulimwengu?
Surah Maidah aya 51 ,ANAYESHABIKIA WATU WENGINE KUUWAWA, NI MFUASI WA SHETANI BILA MWENYEWE KUJIJUA