Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Crusaders

Senior Member
Joined
Jun 30, 2022
Posts
167
Reaction score
207
Wakuu mwezi uliopita rafiki yangu alikuja kunisabahi kutoka Marekani - Washington, mbali na vitu vingi ameniletea pia zawadi ya IPhone 13 Pro Max, Gb 128.

Kiukweli, mimi sio muumini wa divice za Apple. Nilitaka kujua yafuatayo kutoka kwa wajuzi

Nikiamua kuiuza inaweza pata wanunuzi?

Naweza pata kiasi gani nikiiuza?

Ikiwa kuna yoyote anahitaji aniambie.

Location: Dar es Salaam

IMG_20220701_171604.jpg
 
Nenda dukani kaulize bei, ukishapata bei halafu wewe kadiria bei ya kumvutia mteja.

Na kama ni used lazima uelewe kitu used hakina thamani ya simu mpya.
Mkuu ndio maana nimeuliza hapa,kama unanifahamu bei unaweza nisaidia kujua tafadhali.
 
1. Ilinunuliwa ikiwa USED (refurbished) au MPYA (virgin)?

2. Imetumika kwa muda gani?

3. Ubora wake sasa ukoje?
 
Wanajifunza kule, mijitu yenye roho mbaya inapatikana Africa hasa Tanzania.
Mkuu hadi nimeshanga kwa kweli, aliniahidi nikija huko nitakuletea simu kweli kaniletea na vitu vingine vingi sana.
 
Ingia Instagram tembelea page "inauzwa" ao jamaa ni wauzaji wa iPhone na accessories zake. Kule ndo utajua bei yake na we utajua uuze bei gani. Kila la kheri.
Asante sana ila situmii Instagram mkuu.
 
swala dogo mchek bonny chengula ana duka
pale mwenge jiran na mataa ya itv

atanunua kwa bei nzuri

nilisha muuzia airpod kwa 180k
sikuwaza kama ningeuza vi earphone kwa bei hiyo
kwakweli.

nimeambatanisha mawasiliano yake
kwenye attachment.
Screenshot_20220702-135055_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom