Habari Wana JF
Wiki mbili zilizopita nilikutana na dada mmoja jirani yangu tukabadilishana mawasiliano
Baada ya mawasiliano Yakama siku mbili alipafahamu kwangu na akaja kunitembelea .
Kutokana na hakuna na mahusiano na ilikua usiku tulijikuta tumeshiriki tendo la ndoa ila hakukua na michubuko yeyote iliyotokea.
Jana nilimuomba tuonane tukionana barabaran ila kuna jamaa aliezaa nae alituona na alikua ananifahamu sababu Mimi na yeye nimarafiki ilasiokivile.
Jamaa alintafuta nakuniweka wazi kuhusu yule dada nakuniambia kua yeye amezaa nae ila baada yakumkuta na dawa walienda wote kupima yeye akawa mzima ila dada ndioakawa anao
Hivyo alinitahadharisha pamoja nakunionesha dawa zake alizomkuta nazo.
Naombeni ushauri zimeshapita wiki mbili nimepata hii taarifa namna yakutumia dawa zakujilinda nishachelewa je? nikae baada ya muda Gani ndionikapime na Mimi ili kujua afya yangu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wiki mbili zilizopita nilikutana na dada mmoja jirani yangu tukabadilishana mawasiliano
Baada ya mawasiliano Yakama siku mbili alipafahamu kwangu na akaja kunitembelea .
Kutokana na hakuna na mahusiano na ilikua usiku tulijikuta tumeshiriki tendo la ndoa ila hakukua na michubuko yeyote iliyotokea.
Jana nilimuomba tuonane tukionana barabaran ila kuna jamaa aliezaa nae alituona na alikua ananifahamu sababu Mimi na yeye nimarafiki ilasiokivile.
Jamaa alintafuta nakuniweka wazi kuhusu yule dada nakuniambia kua yeye amezaa nae ila baada yakumkuta na dawa walienda wote kupima yeye akawa mzima ila dada ndioakawa anao
Hivyo alinitahadharisha pamoja nakunionesha dawa zake alizomkuta nazo.
Naombeni ushauri zimeshapita wiki mbili nimepata hii taarifa namna yakutumia dawa zakujilinda nishachelewa je? nikae baada ya muda Gani ndionikapime na Mimi ili kujua afya yangu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏