Nimekwisha na UKIMWI

Mkuu hayo ni mapito utatoka salama kwa kua hukujua hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
To live is to suffer,to survive is to find some meaning in the suffering!
 
Tulia kwanza mkuuu endelea na mambo yako jiaminishe Ni kitu Cha kawaida tuu kupima utapima tuu siku za usoni jazba na wasiwasi utakapokua umepungua ila Ni njema pia kujua afya yako mapema.
Wasiwasi hauwezi pungua mpaka atakapopima....
 

[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Usipime mkuu kwa sasa,sababu ikiwa umeathirika kwel unaweza kuchukua maamuz magumu hata ya kujiondoa uhai,au hata kuathirika kias kikubwa kisaikolojia kias cha kushusha kinga yako ya mwil kwa kias kikubwa,maana hata msongo wa mawazo hushusha kinga ya mwili(stress),muhim ni kutuliza Kwanza akil na kufanya inshu zako kama kawaida,na kingine Ukimwi siyo ugonjwa wa hatar kama wengi wanavyouchukulia ukizingatia kuna dawa za kuongeza umri wa kuishi,kuna wangapi? wamekufa vifo tofauti na Ukimwi ilhali walikuwa na Ukimwi,eg ajali,pia ni wangapi? hawana Ukimwi lakin wamefariki wakawacha walio na Ukimwi,ukizingatia kwa sasa kuna tetesi ya kuvumbuliwa kwa Dawa ya Ukimwi inayotibu na kukinga kwa asilimia 98,ila haijaanza kusambazwa rasmi,mpaka mwaka mmoja upite,kwa sasa inaendelea kufanyiwa taathimin kabla ya kuruhusiwa kusambazwa,hivyo mkuu usiwe mwepes kukata tamaa,jipe moyo,hakuna atakaeshi milele hapa dunian,sote tu wapita njia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiwasi hauwezi pungua mpaka atakapopima....
Sawa ila angalau Hali ya kupaniki itapungua akipima kwa Sasa akapata majibu asiyoyataka anaweza akafanya maamuzi ya ajabu zaidi Ni Bora atulie Kama hivi humu atapata faraja pia akishirikisha ndugu na jamaa zake anaowaamini zaidi itamsaidia.
 
UKIMWI SIO KIFO nenda kapime kama itagundulika una maambukizi basi zingatia ushauri wa daktari kwa kufuata masharti utaishi maisha marefu na yenye furaha. Wangapi wanatangulia mbele ya haki (Wanakufa) bila kuumwa UKIMWI? Unaweza ukaumwa na ukaishi miaka mingi pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kawaida tu hiyo mkuu usijali sikuhizi ni ugonjwa wa kawaida tu maana dawa wanameza Mara mbili kwa mwaka na nimepata habar kuna dawa za Mara moja kwa mwaka by 2020 kutakuwa na dawa safi kabisa na ukimwi utakuwa SI kitu.

ukimwi sio mwisho wa maisha
 
Sawa ila angalau Hali ya kupaniki itapungua akipima kwa Sasa akapata majibu asiyoyataka anaweza akafanya maamuzi ya ajabu zaidi Ni Bora atulie Kama hivi humu atapata faraja pia akishirikisha ndugu na jamaa zake anaowaamini zaidi itamsaidia.
Akikutana na wataalam watajua jinsi ya kumhandle na huenda akawa hana maambukizi tofauti na anavyo jihukumu. Ni kwenda tu kwa wataalam...the earlier the better.
 
Kama ni miaka3 nakuhakikishia una 100% hauna huo ugonjwa! Sababu ntakuambia baada ya kupima..
 
Pole braza,hili ni zito siwezi kutoa kauli yoyote zaidi nitakaa hapa kupata idea kutoka kwa wale watakaokuja ili siku nikikutana na situation kama hii nijue jinsi ya kui-handle.Mungu awe nawe ktk kipindi hiki kigumu.

sent from Kibiti with Nokia3310 using Jf app
 
"Aache ukatil ameshakuua",hii kauli siyo sahihi kabisa kwa Mtu mwenye wakati mgum anayehitaj kufarijiwa,tambua kama umepima na hauna siyo mwisho wa kupata Ukimwi,na unaweza ukamdharau mgonjwa w Ukimwi na kumdhihaki,we ukatangulia kufa yeye akabaki,suala la kufa ni mipango ya Mungu,na siku zote tambua hakuna aliye salama katika ulimwengu huu,kufa kupo pale pale,uwe na Ukimwi usiwe na Ukimwi lazima utaondoka tu.
Siku hizi huu ugonjwa siusikiagi tena, sijui ushainekana wa kawaida?

Sent From Ikulu-Magogoni street


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…