Ramlis
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 612
- 532
Leo nimeingia ebay kununua motherboard ya laptop Toshiba Satellite pro A120, nikaipata inauzwa dolla 36.38 kupitia hii link baada ya kufuatilia maelezo ya muuzaji nikaona hatumi kwenye PO BOX. Sasa wanajukwaa naomba mwenye kujua namna nyingine ya kupata address tofauti na PO BOX au jinsi ya muuzaji kukutumia kupitia DHL.