chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 462
- 974
Hii hali imeanza ghafla tu yani nikipigiwa hata simu tu mtu akawa na shida ya pesa namwambia Sina hata kama ninayo afu najaa jazba ghafra tu yani huyo mtu mpaka na block.
Kitu cha ajabu zaidi nikiwa kijiweni naombwa sana pesa hata kama tupo kumi basi kama mtu anashida ya pesa ananiomba mm utaskia oya chakula cha watoto eeeh una buku apo la karibu? Nikisema Sina hataki kuwaomba wengine Kati ndomarafiki zake kuliko mimi.
Saa hizi hata awe nani akisema tu anaomba pesa au anakopa kwangu anapigwa tofali la udongo maana haiwezekani mimi nikiwa Sina pesa yani nitahangaika wakunisaidia ila Hola Sasa hii hali imenifanya kuwa na moyo wa chuma
Kitu cha ajabu zaidi nikiwa kijiweni naombwa sana pesa hata kama tupo kumi basi kama mtu anashida ya pesa ananiomba mm utaskia oya chakula cha watoto eeeh una buku apo la karibu? Nikisema Sina hataki kuwaomba wengine Kati ndomarafiki zake kuliko mimi.
Saa hizi hata awe nani akisema tu anaomba pesa au anakopa kwangu anapigwa tofali la udongo maana haiwezekani mimi nikiwa Sina pesa yani nitahangaika wakunisaidia ila Hola Sasa hii hali imenifanya kuwa na moyo wa chuma