Nimekuwa mtumwa wa wanawake

Nimekuwa mtumwa wa wanawake

Pole sana! Marehemu Brother wangu alikuwa na tabia kama zako!

Mungu amlaze mahali pema peponi..!
 
Akhsante mkuu, hivyo nitumie njia gani kujinasua na pepo hili?
YANI KIMBIA SAA UJIEPUSHE NA MAZINGIRA HATARISHI YA KUGEGEDANA...JITAHIDI USIPOKEE SIMU ZA MADEMU HAO..USIWATAFUTE PIA....JITAHIDI UKAE KARIBU NA WIFE NA UMUONE KAMA MPYA YANI KAMA VILE UMEBADILISHA MWANANMKE KUMBE NI WIFE HUYO HUYO.......
 
hukua maji tia kwenye ungo...simamam mlango wa chooni kunywa yote yaishe halafu kumbuka underware zako zikichakaa unazipelekaga wapi?????
 
Mbona rahisi chukua kisu ingia bafuni shika dhakari yako ikate bhaaass Keisha habari yako
 
YANI KIMBIA SAA UJIEPUSHE NA MAZINGIRA HATARISHI YA KUGEGEDANA...JITAHIDI USIPOKEE SIMU ZA MADEMU HAO..USIWATAFUTE PIA....JITAHIDI UKAE KARIBU NA WIFE NA UMUONE KAMA MPYA YANI KAMA VILE UMEBADILISHA MWANANMKE KUMBE NI WIFE HUYO HUYO.......
Naam nashukuru sana kwa ushauri wako, nimeshaanza kuchukua hatua
 
hukua maji tia kwenye ungo...simamam mlango wa chooni kunywa yote yaishe halafu kumbuka underware zako zikichakaa unazipelekaga wapi?????
Kwamba umegundua ni tatizo gani? Na nikifanya tiba hiyo ndiyo yatakuwa yamekwisha?
 
Mkuu pole sana fanya mpango muda mwingi uwe karibu na familia yako (mtoto na mke) pia punguza matumizi ya mitandao kama Badoo, JF, Eskimi, Tagged, Hi n.k kama upo kama ni app uninstall kabisaaaaa futa account zote........baada ya hapo sahahu hayo ya nyuma songa mbele
 
Dah.. simple sana hii. Haihitaji ushauri wala saikolojia yoyote. Changanya matone wawili ya mafuta ya taa ndani ya glasi moja ya maji na kunywa asubuhi kila baada ya siku moja. Wiki moja tu unaanza kuicontrol game badala ya game kukucontrol wewe😎
 
una pepo sasa sijui litatoka kwa maombi ya pastor au kwa dawa za mti mkavu
 
Mkuu pole sana fanya mpango muda mwingi uwe karibu na familia yako (mtoto na mke) pia punguza matumizi ya mitandao kama Badoo, JF, Eskimi, Tagged, Hi n.k kama upo kama ni app uninstall kabisaaaaa futa account zote........baada ya hapo sahahu hayo ya nyuma songa mbele
Akhsante mkuu kwa ushauri wako na nitautendea kazi
 
Dah.. simple sana hii. Haihitaji ushauri wala saikolojia yoyote. Changanya matone wawili ya mafuta ya taa ndani ya glasi moja ya maji na kunywa asubuhi kila baada ya siku moja. Wiki moja tu unaanza kuicontrol game badala ya game kukucontrol wewe😎
Jina lako linahusika
 
Back
Top Bottom