Nimekutana na wahitimu 2 wa chuo kikuu wakifanya ujasiriamali Kariakoo mtaa wa Kongo kwa mtaji usiozidi elfu hamsini. Aibu kwa taifa

Na akija kukuta nao miaka 5 ijayo wakiwa na maduka yao mkubwa wakiwa wako huru kabisa kiuchumi ataanza kuwaonea wivu wakati yeye anaabudu kuajiriwa ili aendelee kutumwa tumwa.
Kabisa mkuu,me huwa namshangaa sana mtu anaemuonea wivu wa hasira mtu alotafuta pesa kwa muda mrefu.
Ukiona mtu anaimiliki pesa na kuiendesha vizuri kwa % kubwa huyo lazima alipitia shule ya msoto wa kuzisaka na akafanya vingi na vikafeli mapak kufika kwenye reli.
Pesa ya kweli ni ngumu kuipata na ukishapatikana ni ngumu kutoweka maana mpataja huwa anaiheshimu na kuilinda haswa kwa kuwa kila akikumbuka njia alizopitia kuzipata daaah
 
Aisee sasa kama hana kipato lakini ana Idea kubwa akaona aanze na kuuza mikanda ili akusanye nguvu afanikishe mipango,kuna ubaya gani?

Ulichoongea hapa ni kujikweza lakini hukugikiria mara mbili angalau ungesema umemkuta amekaa tu kijiweni bila ishu ningeona umeongea point ila kwa hapa ni utopolo.
 
Apa insue ni serikali yetu, tuna ardhi yenye rutuba nyingi sana, tuna mito na maziwa mingi sana, tuna watahalam wa kilimo wengi sana mitahani.
Sasa tunafeli wapi wakati serikali inaweza kukusanya vijana katika makundi na kuwapa mitaji kwa mwana ya vitendea kazi na vijana wakaanza kufanya kilimo cha umwagiliziaji misimu yote, na kuweza kuingiza kipato kwa mtu moja moja na serikali kunufaika zaidi kwa kupunguza unemployment kwa kiwango kikubwa sana.
Kilimo ni mkombozi
 
Huku Tanzania ikipaa kiuchumi na sasa tuko kwenye uchumi wa kati.

Mwaka jana mwezi nimeusahau ila nikicheki kwenye kumbukumbu zangu ninaweza kujua mwezi,tarehe na hata saa nikiwa na wife tulipokuwa tunazuguka Kariakoo, nikasikia sauti nikiitwa kwa jina langu. Nikamwona kijana akinichangamkia.

Kumbe ni school mate kashikia mikanda 3 ronyaronya akiwarubuni watu kuwa ni ya ngozi. Ile mikanda inauzwa elfu 2 mmoja wao huuza elfu 3-5. Imagine mikanda 3 huo ni mtaji wa elfu 6.

Nilishindwa kuamini kuwa ni yeye maana nilipochati naye about 3 or 2 yrs back aliniambia yuko Chuo kikuu huko Iringa, nilishangaa kuwa ni yeye!

Nikamuuliza swali la mtego huku nikimuonea huruma. "Vipi Iringa umeondoka lini"? Akaniambia tangu mwaka juzi nilipomaliza Chuo. Nikajisikia hudhuni sana, nilimpa namba anitafute nimpige tafu hajanitafuta mpaka leo mwaka umepita.

Jana tena nimekutana na graduate mwingine niliyesoma naye O -level huku akiwa na kibegi chenye bidhaa chache na zisizo na thamani kubwa akielekea kazini Kariakoo, huyu anaonyesha utayari. Nitamsaidia kadri ya uwezo wangu.

Serikali mnatesa vijana, mtu asome Chuo Kikuu miaka 3 akauze mikanda barabarani Kariakoo?
Mimi mwenyewe hapa nimesota kitaa kinyama nimeotea intern mwezi wa saba huyu nakomaa. Lakini dalili ya kuajiriwa siioni *****.
 
Huku Tanzania ikipaa kiuchumi na sasa tuko kwenye uchumi wa kati.

Mwaka jana mwezi nimeusahau ila nikicheki kwenye kumbukumbu zangu ninaweza kujua mwezi,tarehe na hata saa nikiwa na wife tulipokuwa tunazuguka Kariakoo, nikasikia sauti nikiitwa kwa jina langu. Nikamwona kijana akinichangamkia.

Kumbe ni school mate kashikia mikanda 3 ronyaronya akiwarubuni watu kuwa ni ya ngozi. Ile mikanda inauzwa elfu 2 mmoja wao huuza elfu 3-5. Imagine mikanda 3 huo ni mtaji wa elfu 6.

Nilishindwa kuamini kuwa ni yeye maana nilipochati naye about 3 or 2 yrs back aliniambia yuko Chuo kikuu huko Iringa, nilishangaa kuwa ni yeye!

Nikamuuliza swali la mtego huku nikimuonea huruma. "Vipi Iringa umeondoka lini"? Akaniambia tangu mwaka juzi nilipomaliza Chuo. Nikajisikia hudhuni sana, nilimpa namba anitafute nimpige tafu hajanitafuta mpaka leo mwaka umepita.

Jana tena nimekutana na graduate mwingine niliyesoma naye O -level huku akiwa na kibegi chenye bidhaa chache na zisizo na thamani kubwa akielekea kazini Kariakoo, huyu anaonyesha utayari. Nitamsaidia kadri ya uwezo wangu.

Serikali mnatesa vijana, mtu asome Chuo Kikuu miaka 3 akauze mikanda barabarani Kariakoo?
Aibu kwa aliyemzaa. Alimzaa bila kujipanga ili iweje? Starehe afanye mwengine, mzigo ubebwe na taifa. Utukome.
 
Mpongeze kwa uthubutu, kupata wazo la biashara hiyo, ni ngumu sana kwa wengi wetu kuthubutu na ku come up na idea hata kama una mtaji wa Mil.10!!

Wewe unaweza kufanya hivyo wakikutoa hapo ulipo? Au mkuu unaongea tu sasa kiuhalisia mkanda wa buku 3 bado hujala, jua kali, bado hujacheki Afya, vocha, kodi ya nyumba, kunyoa, kunywa chai n.k n.k si bora kukaa nyumbani tu mtu uzeekee home
Mwingine anasema eti ndo kuthubutu thubutuu
 
Wewe unaweza kufanya hivyo wakikutoa hapo ulipo? Au mkuu unaongea tu sasa kiuhalisia mkanda wa buku 3 bado hujala, jua kali, bado hujacheki Afya, vocha, kodi ya nyumba, kunyoa, kunywa chai n.k n.k si bora kukaa nyumbani tu mtu uzeekee home
Mwingine anasema eti ndo kuthubutu thubutuu
Nimekuvumilia uzi mzima ila upuuzi ulioandika hapa hauvumiliki unajua watu tumemaliza chuo wazazi washaishiwa nguvu na wengine kupoteza afya unakaa nyumbani kivipi yaani unakula mawe ficha ujinga wako boy kama wewe ulimaliza chuo nakuwa na nafasi ya kujipanga kwenu usioneshe upuuzi jukwaani.
 
Logic ya mtoa maada Ni fikirishi sana. Inaonesha mtoa maada hakusoma kiwango Kama wao lkn pia inaonesha mtoa maada na uwezo wa kifedha kuliko wao.
Hoja ya msingi Ni hii, kuna faida gani kusotea na madigrii yote hayo yaliyopoteza muda wako wa kutafuta pesa mwisho wa siku unaanza ku hustle from 0 wakati huo age ishaa sogea??

Ushauri: dunia imebadirik Ni vema watoto wetu waishie form four waende veta au wapewe mitaji waanze biashara Kama wahindi ambao ukienda dukan kwao utaona mjukuu, babu mpaka vitukuu vimejazana kuuza duka ambalo baada ya muda wanapat uzoefu wa kuanzisha biashara binafs.
 
Nimekuvumilia uzi mzima ila upuuzi ulioandika hapa hauvumiliki unajua watu tumemaliza chuo wazazi washaishiwa nguvu na wengine kupoteza afya unakaa nyumbani kivipi yaani unakula mawe ficha ujinga wako boy kama wewe ulimaliza chuo nakuwa na nafasi ya kujipanga kwenu usioneshe upuuzi jukwaani.

Kumradhi nisamehe kwa upuuzi.
 
Kama watu watasoma na kufika level ya degree na wazazi wao ni masikini, basi lazima wakaajiriwe. Maana wameshavuka hatua au umri wa kutafuta kwa njia ambayo mtu alieishia darasa la saba ameanza nazo. Kama tunataka graduates wajiajiri wakimaliza elimu yao, basi tuwaambie mapema wakiwa form 4, na pia tuwapunguzie muda/vipindi vya kukaa darasani ili waanze utafutaji mapema wenyewe. Hakuna nchi ulimwenguni inayowaambia graduates wakajiajiri maana kujiajiri ni wito wa watu wachache ili kuwaajiri walio wengi.
 
Huku Tanzania ikipaa kiuchumi na sasa tuko kwenye uchumi wa kati.

Mwaka jana mwezi nimeusahau ila nikicheki kwenye kumbukumbu zangu ninaweza kujua mwezi,tarehe na hata saa nikiwa na wife tulipokuwa tunazuguka Kariakoo, nikasikia sauti nikiitwa kwa jina langu. Nikamwona kijana akinichangamkia.

Kumbe ni school mate kashikia mikanda 3 ronyaronya akiwarubuni watu kuwa ni ya ngozi. Ile mikanda inauzwa elfu 2 mmoja wao huuza elfu 3-5. Imagine mikanda 3 huo ni mtaji wa elfu 6.

Nilishindwa kuamini kuwa ni yeye maana nilipochati naye about 3 or 2 yrs back aliniambia yuko Chuo kikuu huko Iringa, nilishangaa kuwa ni yeye!

Nikamuuliza swali la mtego huku nikimuonea huruma. "Vipi Iringa umeondoka lini"? Akaniambia tangu mwaka juzi nilipomaliza Chuo. Nikajisikia hudhuni sana, nilimpa namba anitafute nimpige tafu hajanitafuta mpaka leo mwaka umepita.

Jana tena nimekutana na graduate mwingine niliyesoma naye O -level huku akiwa na kibegi chenye bidhaa chache na zisizo na thamani kubwa akielekea kazini Kariakoo, huyu anaonyesha utayari. Nitamsaidia kadri ya uwezo wangu.

Serikali mnatesa vijana, mtu asome Chuo Kikuu miaka 3 akauze mikanda barabarani Kariakoo?
Hapa unailaumu Serikali bure tu. Tanzania haina tatizo la kazi, ila ina tatizo la wasomi wengi wenye vyeti wasio na maarifa.
 
Liberal economy maana yake nini wewe au unaokota okota tu maneno usiyojua hata maana yake?

Ni kweli, serikali haiwezi kuajiri watu wote, lakini inapotokea serikali ikashindwa kuajiri watu kwa kiwango cha juu katika unprecedented levels ujue hapo kuna tatizo.Tena tatizo kubwa!


Tanzania asilimia ni ngapi za watu wasio na ajira!? Probably more than 70% !

Hiyo kwako unaona ni sawasawa?

Ati "liberal economy"! Excuse me!!

Unajua hata maana ya neno "liberal" wewe achilia mbali hiyo "liberal economy"?

Liberal economy! Hahahaaa...
Sijui niambie maana yake.
 
Back
Top Bottom