mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,755
Ok sawa mkuu, ila kumbuka kura kwa ukawa
Mbona huelelweki mara hutaki kuitaja jina la hotel mwisho wake umeishia kuitaja...
Mnapotungaga hadith zenu jaribu kukumbuka.
Condom ya nini?
Kwani majini yana Ukimwi??
Mbona sijaliona hilo jina la hotel?? Hajalitaja bana
Baada ya siku saba utakufa
Ok sawa mkuu, ila kumbuka kura kwa ukawa
Habari zenu wakuu,
Usiku wa kuamkia leo sitakaa niusahau katika maisha yangu,yaani tarehe 2/8/2015 saa 5:40 usiku katika hotel moja Mwanza ambayo naihifadhi jina kwa sababu za kibiashara,ni siku nyingi sana yapata miezi miwili nyuma nilikuwa nachat na mrembo mmoja humu jamvini,nahifadhi ID yake.
Kwa kweli kama ni urembo Mungu alimjalia si mchezo,nikamtumia nauli akawa amekuja jana kutoka Dar,nilifurahi sana kumuona nikamchukua hadi katika hotel ambayo nilikuwa tayari nime book,kipato changu ni cha kuunga na super glue,ila nilikuwa na pesa ya kutosha maana nilibahatika kupata pesa nyingi hivi karibuni katika mazingira ya ajabu.
Nikiwa na mrembo wangu katika hotel lobby nikinywa bia na yeye Redbull tu alidai hatumii kilevi,ilipofika saa 5:40 nikamwambia tukalale,tulifanya mapenzi kama kawaida tukasinzia,nimekuja kushtuka saa 11 alfajiri hayupo kitandani,chooni hayupo,mlango wa chumba umefungwa,walinzi na wahudumu hawakumuona akitoka,hakuiba chochote,katoweka na mkoba wake tu hajaacha alama yoyote.
Kwa kweli nimechanganyikiwa
Huo mstari hapo hajataja au mimi nimeelewa vibaya...... katika hotel lobby
Habari zenu wakuu,
Usiku wa kuamkia leo sitakaa niusahau katika maisha yangu,yaani tarehe 2/8/2015 saa 5:40 usiku katika hotel moja Mwanza ambayo naihifadhi jina kwa sababu za kibiashara,ni siku nyingi sana yapata miezi miwili nyuma nilikuwa nachat na mrembo mmoja.
Kwa kweli kama ni urembo Mungu alimjalia si mchezo,nikamtumia nauli akawa amekuja jana kutoka Dar,nilifurahi sana kumuona nikamchukua hadi katika hotel ambayo nilikuwa tayari nime book,kipato changu ni cha kuunga na super glue,ila nilikuwa na pesa ya kutosha maana nilibahatika kupata pesa nyingi hivi karibuni katika mazingira ya ajabu.
Nikiwa na mrembo wangu katika hotel lobby nikinywa bia na yeye Redbull tu alidai hatumii kilevi,ilipofika saa 5:40 nikamwambia tukalale,tulifanya mapenzi kama kawaida tukasinzia,nimekuja kushtuka saa 11 alfajiri hayupo kitandani,chooni hayupo,mlango wa chumba umefungwa,walinzi na wahudumu hawakumuona akitoka,hakuiba chochote,katoweka na mkoba wake tu hajaacha alama yoyote.
Kwa kweli nimechanganyikiwa