Ocran
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 1,045
- 1,352
😂😂😂Page mbili mbona ni ndefu, yangu ina personal information, hobbies and references
😂😂😂Page mbili mbona ni ndefu, yangu ina personal information, hobbies and references
Hapana, ni sayari ninayoifahamu vyema!Unadhani MMU ni sayari nyingine?
excellent,Dah! nimekubal Cv yake ngoja tuone na Mhandisi wetu wa TMA mwenye Cv yake atupe tuCompare nafkir kuna haja ya kujifunza kitu hasa kwa sisi Wanawake. There shall be Motive behind the success in Professionalism
kwani kuna shida gani mke wangu akinambia FUA..nafua tu akinambia PIKA napika tuu akinambia OSHA VYOMBO naosha tu ila asininyime papuchi.
Na akinipa hiyo huko ndio atakapojua mimi ni mwanaume au mwanamke maana Namimi nitamuoshesha vyombo,ntamfulisha yani in ONE NIGHT atajua uanaume wangu.
Kuna dada mmoja tulivyokua shule nilisemaga huyu hadi nimshushe no 1...niliokoka nikamrudia MUNGU maombi ya UKWATA nimo,CASFETA nimo YANI utanikosa wapi mimi...
Nilimfungia kwenye maombi...na hiyo haitoshi ratiba ya kulala ilibadilika nilikua nalala usiku saa 7-11 naamka naenda class....Remidial Class nkawa sikosi, nilikua siulizagi maswali class ila nikawa nauliza maswali yani nilijitosa ipasavyo
Matokeo yake pepa likaja wakwanza ni YULE MANZI aseee nikaamini hizi akili zina wenyewe...nikarudi kwenye maisha yangu ka ku dodge kwenda prepo,remidial,church,nk
Sasa nyie wadada muigeni/mfatisheni mwenzenu huyo muone
Page mbili mbona ni ndefu, yangu ina personal information, hobbies and references
Na kingine jamani akina dada hamna cha motivational hapa wala nini,sazingine mkubaliane na uwezo Mungu alio wapa maana Katika akili kuna watu wana akili ni ma genius in nature sasa Nyie jitieni mmeshikwa na hasira mka apply vyuo..nawambia this time around mna DISCO wote maana SUP hazikuwatosha.
Duuuuh!!Usituchoshe, kazi ya mwanamke ni kulea familia hicho ndicho tunachofanya, huyo ana kiherehere