Mmh tunatofautiana aseeToka lini jf ni siri. Mimi toka niko kwa wazazi back then 2012 nyumba nzima tunatumia jf.
Chuo watu wengi wa karibu yangu walikua wanatumia jf. Aisee jf ni siri kwani. Au kijana unatumiaje jf.
Hii ndio sehemu pekee unaweza tumia ukiwa kwenye daladala. Ukitaka utulivu. WhatsApp na instagram ndio kificho. Maana dakika moja. Tako hlo.
Ungesema alikuwa kwenye range kali nyeusi angejitaja.....Sasa we mmama
Kweli aseeUngesema alikuwa kwenye range kali nyeusi wengi wangekulaumu kwa kuwaona!
Heading ni bodaboda, content ni daladala.Wakuu za usiku .
Leo baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu nikaamua kupanda daladala za kwenda makumbusho .
Sasa Siti zilikuwa zimeisha nikaamua kusimama TU Cha kushangaza aliyekuwa amekaa kwenye siti alikuwa anatazama jf π nilishtuka na kufurahi pamoja na kushangaa sana π€£ .
Maana kwangu mimi JF ni kama sehemu zangu za Siri hakuna rafiki au ndugu anayenijua kuwa Niko humu .
Hata nikitumiaga JF naitumiaga gizani au sehemu isiyokuwa na watu .
Sasa we mmama uliyekuwa unakunywa juisi ya miwa na biskuti nakushauri TU ujifunze kujisitiri ndio maana tunatumia fake IDs humu .
Si vyema ukatumia huu mtandao mbele za watu maana huwezi just nyampara ni nani ππππ§ββοΈ.
Yangu ni hayo TU wakuu.
Hata wakielewa kwani watakufanya nn sasa!!Natumia JF hata nikiwa mbele ya hadhira, wazanzibari wengi hawaelewi chochote juu ya JF.
Ndio napinga we sio mweusiUnapingana na ukweliππ
π€£ π€£ π€£Sasa we mmama uliyekuwa unakunywa juisi ya miwa na biskuti
Yaani kutumiaka jf unapelekwa mahakmani mm situmiagi kwa kujificha popote paleWakuu za usiku .
Leo baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu nikaamua kupanda daladala za kwenda makumbusho .
Sasa Siti zilikuwa zimeisha nikaamua kusimama TU Cha kushangaza aliyekuwa amekaa kwenye siti alikuwa anatazama jfnilishtuka na kufurahi pamoja na kushangaa sana.
Maana kwangu mimi JF ni kama sehemu zangu za Siri hakuna rafiki au ndugu anayenijua kuwa Niko humu .
Hata nikitumiaga JF naitumiaga gizani au sehemu isiyokuwa na watu .
Sasa we mmama uliyekuwa unakunywa juisi ya miwa na biskuti nakushauri TU ujifunze kujisitiri ndio maana tunatumia fake IDs humu .
Si vyema ukatumia huu mtandao mbele za watu maana huwezi just nyampara ni naniβ.
Yangu ni hayo TU wakuu.
Ww ni mshamba sana kwahyo umeona jf ni siri sana mpka mtu ajifiche akitumia acha watu wawe huru ndio maana jf wamasema where we dare to....... Kama unajificha ni ww mbona watu wanapewa hadi tuzo au nazo wanajifichaWakuu za usiku .
Leo baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu nikaamua kupanda daladala za kwenda makumbusho .
Sasa Siti zilikuwa zimeisha nikaamua kusimama TU Cha kushangaza aliyekuwa amekaa kwenye siti alikuwa anatazama jf π nilishtuka na kufurahi pamoja na kushangaa sana π€£ .
Maana kwangu mimi JF ni kama sehemu zangu za Siri hakuna rafiki au ndugu anayenijua kuwa Niko humu .
Hata nikitumiaga JF naitumiaga gizani au sehemu isiyokuwa na watu .
Sasa we mmama uliyekuwa unakunywa juisi ya miwa na biskuti nakushauri TU ujifunze kujisitiri ndio maana tunatumia fake IDs humu .
Si vyema ukatumia huu mtandao mbele za watu maana huwezi just nyampara ni nani ππππ§ββοΈ.
Yangu ni hayo TU wakuu.
Ina maana mnadhani humu kuna malaika autupo binadamu wa kawaida kina blackmangopiko tunaokutanaga mtaani yani
Washamba wako wengi mkuu ogopa sana mtu anaepanda daladala anajua imejaa anakubali kusimamaLet's every one be free. Hamna wakumpangia.
Bando lake yeye kisha umpangie....? Atumieje
Kuna watu wala hawana sababu za kujificha ficha...
Kijiwen kwetu wengi wanatumia jf...wala hamna MTU wakufatiliana IDs.... Sometimes tunaoneshana Jambo tunacheka pamoja.
Mind your 'bizenes'