Kabisaa Lazima ujikaze kikike[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....wanaume Hampendi kuombwa pesa ila papuchi mnataka mfyuuuu
Acha ukatili mkuuBinafsi huwa nashangaa mwanaume kulalamika.
Kama wewe ndiye ulimtongoza mwanamke na unampa huduma sasa ukiskia kaharufu tu kakukusaliti si unapiga chini?
Labda mke ndiyo kazi kupiga chini kijinga jinga.
Huo ni mwanzo tu jipemuda kidogo
HahahaUmeniibia nilichotaka kuandika
Kiufupi hapo lazima anachora ramani, siku zote mwizi akitaka kuiba mahali lazima apige racket achre ramani so jiandae, maana miezi mitatu tgu nakukimbilia kuja hapa umewahi sana
Lol karibu chiefDah! Umenifanya nifikirie sana hii kauli " ana uwezo mkubwa wa kufikiri" bado natafakari nikipata jibu nitarudi. Ila hongera sana kwa kupata.
Pesa Tutatoa lakini kwa watu wenye mipango endelevuWatoe tu pesa, na tutawaomba tu.
HahaaSijui nani aliwadanganya!!
Na ndio nacho kifanya hichoUkikutana na malaika usimwache tafadhali.
Mng'ang'anie mpaka akupe baraka zake.
Hahaha aisee " naona mada imesha change watu mmeona hilo tu lakutoombwa pesa... hivi mtu akisema jamii fulani ina mmong'onyoko wa maadili wewe unaelewa nini !!?Mwanaume wa kibongo usipomuomba pesa anakuona wife material,
Hahaa wakunyumba bwanaUmeona mwenzio amesema haombwi hela anajiongeza!? hapo ndipo ulipofeli boo. Anza kunipa uone kama nitaendelea kukuomba. Halafu si unaona huyo wifi kajitosheleza kiuchumi?? Mi bado hivyo vinginw unisaidie tu. Kodi najua huwezi kunilipia basi hata salon baba.
Hehehe heeKabisaa Lazima ujikaze kikike[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....wanaume Hampendi kuombwa pesa ila papuchi mnataka mfyuuuu
Point ni Mmong'onyoko wa maadili siku utakayo anza kujifunza namna ya kufikiria nje ya box utaelewa mantiki nzima ya huu uzi ...karibuWell said...... Point hapo ni pesaaa
Muache wakunyumba bwana@Mzigua90 pita hapa ujue wapi umefeli kuniweka kwenye angle yako...!
Asante mkuuKila la kheri mkuu
Hahaha hivi ukitaka kuongea na jamii ya watu wa mjini ili waweze kukuelewa " utakwenda mbele yao huku ukiwa umejipamba kwa mavazi ya kutoka kijijini ..!!? Jiongeze mkuu"Hakuna Mungu"
"Nimekutana na Malaika"
Duniani kuna watu wa ajabu sana.
Anyway ongera Mkuu.
Hahaha " umetishaHuu uzi bila namba ya simu ya huyo binti ni batili. Mods sukuma ndani huyu mtu.
Ongea tu mkuu " tupo hapa katika kujadili ..jf inaturuhusu hiloNgoja kwanza niwe mpenzi mtazamaji kabla sijamkatisha mwanaume mwenzangu tamaa
Hahaha nasijui kama haujaanza kummezea mate @kwante wewe