hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,530
- 73,770
Acha mihemko aisee " tulia usome post vyema uielewe ... sipo kwaajili ya kusema kwamba mpenzi wangu hato ni saliti ... bali nipo hapa kwaajili ya kumsifu kutokana na tabia yake njema ..Huwezi kuwasoma wanawake wewe na usijivune kabisa unaweza kuja unalia lia humu tena
Mwanamke kama hakuombi wewe yupo anayemuomba amin hilo lipo
Nilikuwa na mazoea na binti mmoja alikuwa anaomba mtaani hadi kero lkn hawala yake alikuwa hajawahi kumwomba pesa siku hata moja . alikuwa akimganda MTU mpaka ampe na akimpa anamhonga jamaa kabisa na alikuja akapigwa mimba kwa ajiri ya kuomba omba pesa
Usijihakikishie yawezekana wanaopigwa wapo na wala huwajui na hutawajua kwa kuwa akili yako imeshasizi
Kwa sisi watu wenye busara ni wito kwetu kutoa shukurani kwaajili ya kumpa hamasa mtu aliyefanya vizuri kwaajili ya kuendelea kufanya vizuri zaidi na pia kuutumia mfano wa yeye kuwa inspired watu wengine waweze kuuiga mfano wake upo ... pia huwa tunatoa ushauri pale tunapo ona mtu fulani anatenda mambo au jambo ambalo halistahiki kuwepo katika maadili ... hapa namaanisha kwamba siku ikitokea akakosea basi nita mshauri pia ili aweze kurudi katika mstari ...
Karibu jamvini