Nimekutana na malaika

Status
Not open for further replies.
Safi sana kumbe na wewe " unaye malaika wako "... Ubarikiwe " Asante kwa pongezi pia "
Nitayazingatia haya maneno kwa yakini "
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kufake km kote!sidhan ..naudhika mnavyogeneralize kuwa wanawake wanawapiga mizinga...sio kweli ht kidg..kuna watu wazito sana kuomba omba hela mkuu
Wanawake wote wanaomba hela wanatofautiana kwenye namna ya uombaji tu kuna wale wanaomba direct na wale wanao omba indirect

Direct : Naomba laki moja na nusu niende saluni

Indirect : kuna wigi jipya linetoka baby nalitamani mnh acha tu hapa sina hela sijui nitalipataje??

Basi hapo huyo wa indirect atasikitika wiki nzima mpaka utaitoa pesa tu akanunue wigi. Wanawake wako na strategies nyingi sana kwenye kuomba hela.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…