Nimekutana na hii nikacheka sana

Nimekutana na hii nikacheka sana

everybody

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
337
Reaction score
103
Changudoa alienda hospitali kwa ajili ya clinic ya ujauzito. Mojawapo ya swali alilokutana nalo hili hapa na jibu zuuuuri alikua nalo.....
DOCTOR: mimba hii kakupa nani?
CHANGUDOA: hivi we ukila maharage utajua ni harage lipi lililokufanya ujambe!
........
.........kwi kwi kwi
... ... ,,,,,,,
,,,,,,,,,,,,
,,,,,,,,,,,,,,,

Kwa herini
 
Walev 2 waliokota kioo. Mlev wa kwanza. Hii sura si ngeni ila jina sikumbuki. Mlev wa 2 akachkua kioo kuangalia akasema. We chizi kwel, c mm hyu unajidai hunijui!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom