Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
14,131
Reaction score
33,911
  1. Nini huwa kinakufanya umtamani mwanamke au mwanaume kimapenzi au kimwili ?

  2. Nimeona mijadala mingi humu kuhusu kukosa uaminifu kwenye mahusiano huku watu wakisema “huwezi kula chakula kile kile kila siku” hivi inakuwaje mtu unatamani chakula ambacho hujui ladha yake? kiini cha matamanio yako kinakuwa ni nini?



  3. Wenzangu tunaovutiwa na uwezo wa mtu kiakili au kuwa na connection ya kihisia kwanza (sapiosexual / demisexual) na si kimuonekano, nini ambacho mpenzi au mwenza wako alisema au alifanya kikavutia ukataka kuwa naye?

    Alamsiki!
 
Hata siwezi kueleza nikaeleweka.
kuna mmoja nilimmiliki kwa miezi michache tukawa kama mapacha kwenye masuala ya matamanio yetu.... Tuliyafanya mapenzi kama chakula ikafika kipindi wote tukiamka asubuh miguu inalia kama bawaba kisa uroto umepungua

Kama sio Mungu kututenganisha tungefia kitandani mbwa sisi🤣🤣🤣🤣
 
Hata siwezi kueleza nikaeleweka.
Mimi nimekuelewa!
Nimecheka mpaka nimepaliwa, daaah 🤣


Zinakuwaga tamu sana hizo, miili tu ndiyo inachoka ila viungo bado vinataka 🤭
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…