Nimekuta vidonge kwenye pochi ya mchumba

Nimekuta vidonge kwenye pochi ya mchumba

Leonce jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2023
Posts
2,418
Reaction score
3,612
Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

Ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

Na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

Yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea aisee
images (40) (1).jpeg
 
Kupiga demu kavu kwa Zama hzi ni moja ya ujasiri wa hovyo hasa Kwa nchi kama Tanzania iliyopo kwenye top ten ya VVU Worldwide , na victim wakubwa ni hawa mabinti below 26 , kupiga kavu jilipue Kwa mke wako tuu
mkuu sina aman pengine anaugonjwa wa akili au ana magonjwa sugu yasiyotibika afu ukamuoa mambo yakawa mengi
 
Watu Kweli ni wavivu siku hizi, then Hivi wewe kweli Ni MWanaume ? Yaani unawoga hata wa Kumuuliza Mkeo, Kwamba My Love nimeona Vidonge kwenye Pochi yako unaweza kunieleza ni kwa matumizi gani ? .... si hivyo tu unapatajibu ..... au chukua jina la vidonge ingia Google unapata jibu, au piga picha, nenda kwenye duka lolote la dawa waulize Unapata jibu ..... lakini waaaapiiii ..... siku moja mtu atauliza

" Wadau nina miaka 40 na leo nimegundua nina tundu Matakoni hivi hili tundu kila mtu analo na linaitwaje ? )
Kwa Uvivu huu maswali kama haya yanakuja wadau.......
 
Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea sina

Tumsifu yesu kristo./ asalama leko
wakuu juzi kati nilikua kwa mchumba wangu. kulikua na mvua siku hiyo nikaomba aniwekee simu kwenye pochi yake.

ukawa muda umepita tumefika nyumbani sikuchukua simu kwa wakati. so pochi akawa ameiweka kabatini ile nachukua naenda kuchukua simu nikaona vidonge vikubwa vikubwa vigumu na haviko na unga kama vidonge vya kawaida kwa shape vipo kama TORPEDO. vimekaa kwa mstari vinene😳😳
mwili wote ulisisimka niliiba kimoja nikichunguze sijui nilidondosha wapi haki hata hamu ya kugonga ilinikata

na hajawai kuniambia anachangamoto nimeondoka sasa ila kumbu kumbu ipo kichwani nimeenda kupima afya mimi nipo vizuri

yangu ni hayo tuwe tunawachunguza kabla na kupima afya kabla ya kulala nae na kama kuna mtu anajua hivyo vidonge kazi yake aniambie maana naogopa hata kuuliza vipo vimeandika CYNEX TORPEDO kama sijakosea aisee
Sina hakika sana ila ninkama vidonge vya kuzuia bleeding,kuna wadada wanatoka damu saaana sasa hvyo vinasaidia kupungua tatizo hilo,au maradhi tu yakutoka damu sana kutokana na maybe allege flani hv,muulize tu kawaida atakujibu.
 
Watu Kweli ni wavivu siku hizi, then Hivi wewe kweli Ni MWanaume ? Yaani unawoga hata wa Kumuuliza Mkeo, Kwamba My Love nimeona Vidonge kwenye Pochi yako unaweza kunieleza ni kwa matumizi gani ? .... si hivyo tu unapatajibu ..... au chukua jina la vidonge ingia Google unapata jibu, au piga picha, nenda kwenye duka lolote la dawa waulize Unapata jibu ..... lakini waaaapiiii ..... siku moja mtu atauliza

" Wadau nina miaka 40 na leo nimegundua nina tundu Matakani hivi hili tundu kila mtu analo na linaitwaje ? )
Kwa Uvivu huu maswali kama haya yanakuja wadau.......
hujasoma vizuri nilliiba kimoja lkn nikakipoteza na picha sikupiga ila nakumbuka ni CYNEX vikubwa rangi ya maziwa
 
Kupiga demu kavu kwa Zama hzi ni moja ya ujasiri wa hovyo hasa Kwa nchi kama Tanzania iliyopo kwenye top ten ya VVU Worldwide , na victim wakubwa ni hawa mabinti below 26 , kupiga kavu jilipue Kwa mke wako tuu
Mkeo mwenyewe anaweza akawa analiwa na vi boda vya 2000 vile vile.

Na bodaboda wanamsemo wao kuwa mke wa mtu havaliwi kondom.
 
Sina hakika sana ila ninkama vidonge vya kuzuia bleeding,kuna wadada wanatoka damu saaana sasa hvyo vinasaidia kupungua tatizo hilo,au maradhi tu yakutoka damu sana kutokana na maybe allege flani hv,muulize tu kawaida atakujibu.
ngoja nitamuuliza
 
Back
Top Bottom