Nimekunywa PEPSI ndani ina kifuniko

Nimekunywa PEPSI ndani ina kifuniko

Mjomba Mkude

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
287
Reaction score
119
Wakuu tumbo linanisokota muda huu, nimeagiza soda ya pepsi ile naanza kunywa tu nikahisi kama kuna radha ya chuma(isiyo ya kawaida), ilipobaki nusu ikabidi niangalie Daah, nimeona kuna kifuniko ndani yaani mtu alikunywa akatumbukiza kifuniko ndani, ilipofika kiwandani hawakuangaika kusafisha, wakajaza tena ikaja sokoni.

Naomba ushauri wakuu tumbo lanisokota muda huu.
 
Pole sana mkuu, uzembe kama huo ingekuwa Ulaya kwa watu wenye kujielewa ungekuwa milionea sasa hivi maana faini yake si ya kitoto ila kibongo bongo tutaishia kukupa pole tu mkuu.
 
Pole sana mkuu, uzembe kama huo ingekuwa Ulaya kwa watu wenye kujielewa ungekuwa milionea sasa hivi maana faini yake si ya kitoto ila kibongo bongo tutaishia kukupa pole tu mkuu.
asante mkuu
 
Wakuu tumbo linanisokota muda huu,nimeagiza soda ya pepsi ile naanza kunywa tu nkahis kama kuna radha ya chuma..ilipobaki nusu,ikabid niangalie daah.,nimeona kuna kifuniko ndani,yaani mtu alikunywa akatumbukiza kifuniko ndani,ilipofika kiwandani hawakuangaika kusafisha wakajaza tena ikaja sokoni.
Naomba ushauri wakuu tumbo lanisokota muda huu.

Kawasemee Kwa Goodwill Ambassador Wao Juma Kaseja Juma!!!!!!!
 
Ongeza na coca cola, si wanasema inayeyusha chuma
 
Pole sana mkuu, uzembe kama huo ingekuwa Ulaya kwa watu wenye kujielewa ungekuwa milionea sasa hivi maana faini yake si ya kitoto ila kibongo bongo tutaishia kukupa pole tu mkuu.

Wapi bana, swala ni ushahidi kwa kukikuta kizibo humo ndani ya chupa. Soda ikishafunguliwa na kunyweka hivyo ni utata mkubwa sana na bado ingekuwa haijafunguliwa utata unakuja kwenye madhara yapi yamempata mlaji. Kuna ugumu wake na si rahisi kihiiivyo. Pole mkuu.
 
Wapi bana, swala ni ushahidi kwa kukikuta kizibo humo ndani ya chupa. Soda ikishafunguliwa na kunyweka hivyo ni utata mkubwa sana na bado ingekuwa haijafunguliwa utata unakuja kwenye madhara yapi yamempata mlaji. Kuna ugumu wake na si rahisi kihiiivyo. Pole mkuu.
Wabongo hulka yetu ni ubishi, ligi siiwezi ndugu yangu
 
Nimekata shauri,sitokunywa soda tena.Mashitaka natapeleka kwenu walaji.
 
Wakuu tumbo linanisokota muda huu, nimeagiza soda ya pepsi ile naanza kunywa tu nikahisi kama kuna ladha ya chuma, ilipobaki nusu ikabidi niangalie Daah, nimeona kuna kifuniko ndani yaani mtu alikunywa akatumbukiza kifuniko ndani, ilipofika kiwandani hawakuangaika kusafisha, wakajaza tena ikaja sokoni.

Naomba ushauri wakuu tumbo lanisokota muda huu.
Dah! Mwanangu hapo kwenye bold ni kipaji. Nenda pale Wizara ya Nishati na madini wakupe kazi mkuu. Tunapoteza madola mengi kununua vifaa vya kutambua chuma kule Mchuchuma kumbe kuna watu wana uwezo huo wanazurura tu wakinywa pepsi :glasses-nerdy:
 
Wabongo hulka yetu ni ubishi, ligi siiwezi ndugu yangu
Siyo ubishi bana. Ni chalenji tu, Au sasa wewe unataka abebe chupa yake aende kiwandani wampe maescrow tu? siyo rahisi kihivyo
 
Back
Top Bottom