Kumbe wakina Rooney wanakunjwa maji sanaHabari wana JF,
Tangia niskie kuwa maji yanakufanya uwe mweupe hata kumzidi Rooney nimeanza kwa kunywa kama litre 3 kwa siku lakini wapi.
Naomba msaada kuhusu hili maana hata simkaribii Vicente Kigosi.
Kumbe wakina Rooney wanakunjwa maji sanaHabari wana JF,
Tangia niskie kuwa maji yanakufanya uwe mweupe hata kumzidi Rooney nimeanza kwa kunywa kama litre 3 kwa siku lakini wapi.
Naomba msaada kuhusu hili maana hata simkaribii Vicente Kigosi.
Kwani kambare anakunywa maji...yeye anaishi baharini tuu!
!
Kimsingi kambale asingekuwa mweusi
Yaani hufurahii jinsi ulivyoumbwa unataka uwe vinginevyo?Habari wana JF,
Tangia niskie kuwa maji yanakufanya uwe mweupe hata kumzidi Rooney nimeanza kwa kunywa kama litre 3 kwa siku lakini wapi.
Naomba msaada kuhusu hili maana hata simkaribii Vicente Kigosi.
!Kwani kambare anakunywa maji...yeye anaishi baharini tuu