Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

bananna hii pombe unaijua ndo wanaita mbundi mbundi

Yaan nana mara ya kwanza naonja si nkasema bia gani hii tamu tu, nkapiga tano za fasta fasta, aisee nilijikuta naimba table ya kwanza hadi ya 25.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…