ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Enzi zile mambo ya kujitupia kwa "Juliana", BioAct, BenQ, NINO, TOMATO (kwa wale wa QUarters kama line polisi au JWTZ, Waalimu nk ni nunulie shati kama lako ukienda mjini..) ...imenikumbusha mafuta ya kupaka SHANTI, "RAYS", SNOW CREAM,YORANDA, kuchoma nyewele kwa kigae cha chungu (kwa kina dada), ambo ya Rangi mbili (Tetracycline).Viatu vya chacha, suzana, bora nk (wapo tuliovaa "Mwaka wa Mtoto")...kufuli acha zile VIP zinazopanda kifuani ikikatika kiungo, zilikuwa boxers zenyebango 007 au chapa mamba..saluni chini ya mwembe..fundi cherehani Mzaire..
Thanks Mzee RUKSA..
Thanks Mzee RUKSA..