Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,147
Reaction score
96,197
Usingelifanya harakati zako ( nzuri, I can say by now) ukiwa hapa!

Walijua una siri zao nyingi, lazima wakumaliza as they have done!

Nakuombea huko ulipo tukuone tena.

AMINA

HP-Image.jpg
 
Alichokifanya ulikuwa ni ujinga Huwezi kushindana na adui Yako mwenye nguvu Pasipo kujipanga na kuwa na mbinu Bora za kumshinda adui huyo
Alikuwa mpumbavu kupindukia, mfumo alioshiriki kuutengeneza na kuutetea umemtsfuna masikini ya Mungu.
Ujasiri wa nzi matokeo yake huwa ni kifo chake mwenyewe.
Inasikitisha sana mwanadiplomasia kupotezwa na hakuna anayehoji kuanzia Serikali aliyoitumikia mpaka chama chake
 
Inasikitisha sana mwanadiplomasia kupotezwa na hakuna anayehoji..
Alipaswa kutambua kwamba Jamii ya watanzania ni jamii ya watu waoga Wakati ukiwa unafanya harakati watakupa bichwa Kwa kukushangilia tu ila ukikamatwa Wataishia kupost #Free pole pole After one month imeisha hiyo 😄

Jamii ya watanzania haipo Tayari Kwa ukombozi
 
Back
Top Bottom