Nimekuja na salamu za upendo kutoka kwa Rais Samia ambaye anatambua mchango mkubwa wa taasisi za dini

Nimekuja na salamu za upendo kutoka kwa Rais Samia ambaye anatambua mchango mkubwa wa taasisi za dini

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
261
Reaction score
199
Nimekuja na salamu za upendo kutoka kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anatambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika kudumisha amani, maadili mema na mshikamano wa kitaifa-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

📍Mpanda-Katavi
🗓️Machi 15, 2026

—————————————

Amesema hayo wakati akitoa salamu katika Ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mpanda Mjini, Dayosisi ya Ziwa Tanganyika, iliyoongozwa na Askofu Imani Ahobokile Chibona.
 
Nimekuja na salamu za upendo kutoka kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anatambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika kudumisha amani, maadili mema na mshikamano wa kitaifa-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

📍Mpanda-Katavi
🗓️Machi 15, 2026

—————————————

Amesema hayo wakati akitoa salamu katika Ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mpanda Mjini, Dayosisi ya Ziwa Tanganyika, iliyoongozwa na Askofu Imani Ahobokile Chibona.
View attachment 3558118
Mama Grace! Mh!
Screenshot_20260308-092128~2.png
 
Upendo upo huo,
Unauwa watu wasio na hatia Kisha unajisrmesha mwenyewe
Samia ana upendo kwa nani. Labda kwa machawa wajinga wa Lumumba
Najua amefunga lakini ni bure mbele ya mungu
 
Back
Top Bottom