nimekuja kuelimishwa

nimekuja kuelimishwa

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
39,162
Reaction score
31,716
member wa jf naomba kujitambulisha kuwa mimi ni mtu mzima ninayehitaji elimu ya uzeeni.naomba kupitia jamvi hili nipate elimu kabla mola hajaniita mbele ya haki.
ELIMU HAINA MWISHO.
 
teh teh yaani miaka 20 uliyonayo umezeeka.karibu huko ndiko kwenyewe mzee wetu.
 
Karibu humu ndani. Tafuta nafasi ukae. Tumetoka kulifagia jamvi muda si mrefu.
 
Karibu unarudia masomo yapi?Lete bankpayslip au cash lipa kwa Jf busar
 
Back
Top Bottom