kama wengi wenu mlimchagua magufuli niHaijalishi anaongozwa na nani, Wananchi tuna macho na tunaona, tunamjua Magufuli tangu akiwa Waziri, kila Wizara aliyopelekwa aling'ara kwa ufanisi wa kazi hivyo hata kwenye uraisi pia haiwezi kuwa tofauti na ndio maana wengi wetu tukamchagua!
kama wengi wenu mlimchagua magufuli ni
Kwa nini mnakuwa na hofu ktk kuikubali mokutano ya chadema sasa hivi?
Mnafikiria leo tu ndio maana hamna plan za futureSisi tunaishi leo hii yaani sasa hivi na very soon ni relative!
Off course, ni intelligent kuliko Barbarosa ......................!!!
hawa wezi wanashida sana ... Mmesahau kuwa JK alianza kwa kasi zaidi yake ... Huyu bado anaongozwa remotely from Msoga ... Kasuku anauwezo wa kukariri milio mbali mbali ... wakati Mwingine hujiona kenge eti akinyeshewa na yeye anaingia majini kujiloweka zaidi ... Hili FUTUHI hatulikubali ...
Hao wanaomsifia Magufuli ni wale wale waizi wa KURA lakini mwisho wenu utafika tu. Kama c ufinyu wa ubongo (akili ndogo) ataweza wapi kutembelea Tanzania nzima kwa kushtukizia? Huu ni moto wa karatasi tu,hata siku 100 hazitofika keshalegea,kwanza huko Hazina kaambiwa hakuna hata cent aliyobakisha baba rizi anafukuza wsatu ambao hata mamlaka ya kununua hizo mashine hawana. Ninachojua andikeni mahali nchi inakwenda kusimama kama treni siku c nyingi. wote wamekaa pembeni wamemwachia zigo lote ikiwepo issue ya Zanzibar. Wakati wa ushabiki umekwisha huyu jamaa huko nje ya nchi hana mvuto wala hawamjui sasa pesa anapata wapi? yeye mwenyewe anategemea mshahara? Imekula kwetu!!!!!
your ability to analyse things/events is weaker than weakRais Magufuli leo nimemkubali kwamba ni mtu intelligent sana na hii ni kutokana na uamuzi wake wa leo wa kwenda kutembelea Muhimbili uamuzi aliouchukuwa baada ya kwenda kumtembelea kigogo Bi Bisimba aliyelazwa Hospitali ya Aga Khan ambayo ni Hospitali binafsi sasa najaribu kufikiria kilichokuwa kinaendelea kichwani kwa Magufuli ni kwamba kwa hali ya kawaida huyu Bi. Bisimba alipaswa akalazwe Muhimbili Hospitali ya umma, kwanini akalazwe hospitali binafsi hilo swali alijiuliza Rais Magufuli, ndiyo maana akaamua kuunganisha safari na kwenda Muhimbili kutaka kujua ni kwanini?
Ni mtu intelligent tu ndiyo anayeweza kuoanisha matukio namna hii, kwa mtu wa kawaida kama Mbowe anaweza tu kuponda na kufikiri ni kwa ajili ya show lkn swali linakuja kama ni show kwanini baada ya Aga Khan iwe Muhimbili na siyo Sokoni Kariakoo au kwenye Daladala?
hawa wezi wanashida sana ... Mmesahau kuwa JK alianza kwa kasi zaidi yake ... Huyu bado anaongozwa remotely from Msoga ... Kasuku anauwezo wa kukariri milio mbali mbali ... wakati Mwingine hujiona kenge eti akinyeshewa na yeye anaingia majini kujiloweka zaidi ... Hili FUTUHI hatulikubali ...
Haijalishi anaongozwa na nani, Wananchi tuna macho na tunaona, tunamjua Magufuli tangu akiwa Waziri, kila Wizara aliyopelekwa aling'ara kwa ufanisi wa kazi hivyo hata kwenye uraisi pia haiwezi kuwa tofauti na ndio maana wengi wetu tukamchagua!
Thinking capacity ya Barbarosa imekuzidi sana, mtu hajipi jina bure, I believe you resemble Zero
Kutembelaa wagonjwa ni vizuri sana hata Mungu ametuagiza kufanya, hivyo, mimi naona atachoka kwani nchi yetu ni kubwa na uongozi ni hekima, busara na sayansi, Hivyo aunde timu binafsi za kumshauri na utekelezaji kuhusu Uchumu, Usalama, Afya, Elimu, Kilimo, Vyote hivi viwe na watu kutoka nje na wachache ndani ya nchi, Nchi za kuchukua hawa wataalam Israel,USA, German, Japani na Singapore.
Akitengeneza timu ya namna hii baada ya miaka miwili tutashudia Tz ikipaa kiuchumi.
Kama kumsimamisha mkurugenzi, kuvunja bodi na kuagiza machine zirekebishwe in two weeks ni maekekezo kutoka Msoga...basi natamani aendelee kuongozwa remotely kutoka Msoga
Futuhi linaendeleo ... Kuvunja Bodi ambayo kimsingi ilishamaliza muda wake!!! Kumtoa Dr Hussein kwa kuwa ni Muislam na kumpa Prof Laurence 3Billion kwakuwa ni mroman mwenzie ...
Haijalishi anaongozwa na nani, Wananchi tuna macho na tunaona, tunamjua Magufuli tangu akiwa Waziri, kila Wizara aliyopelekwa aling'ara kwa ufanisi wa kazi hivyo hata kwenye uraisi pia haiwezi kuwa tofauti na ndio maana wengi wetu tukamchagua!
Na kwa akili yako unafikiri kwa akili yangu nilikuwa nafikiria nini na nilitakiwa kufikiria nini?kwa akili yako unafikiliaje?