Nimekubali Magufuli ameletwa na Mungu. Najuta kutompigia kura

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,851
6,201
Najua wengi hasa wapinzani hamumpendi ila ukweli lazima niuseme.

Najua ila ili tuendelee lazima tukimbizane mchaka mchaka. Huoni aibu nchi ina miaka 50 ya uhuru, ina amani tele ila hatuna mwakilishi hata Wigan. Halafu TFF inacheka cheka cheka tu.

Uganda anaenda mataifa Africa sisi tuna maeneo ya wazi kila sehem mtaani watu badala ya kucheza mpira wanavutia bangi na kuuziana madawa ya kulevya tu.

Unaenda NBA unatimuliwa. Hizi zote ni ujamaa na kubembelezana kila sehemu. Magu nampenda yupo against kubembelezana kwenye swala la nchii.

Magufuli ongeza spidi baba, mambo ya siasa siasa achana nayo.
 
Amefanya. nini kinachokusaidia maisha yako?
Labda bombardier au teua,tengua,tuumbua imekupa ahueni ya maisha

tatizo la hostel udsm ni la miaka na miaka ila magufuli amelisove dakika tu... pita near mcity ushangae... foleni njia ya mwenge.. bombardier nayo imefufua atc.... nchi inakimbia kwa kasi..

magufuli leo hata akigombea kenya au uganda anashinda jinsi wanavyomtamani
 
Twende na Magufuli mpaka akili zitukae sawa tulishazoe blaa blaa sana Magufuli tunyooshe mpaka ifikie hatua kila mtu kwa nafasi yake atimize wajibu wake bila kusukumwa kaza Kamba mwanzo mwisho najua kuna majitu hayaitakii mema nchi yetu kana kwamba yenyewe ni mahamiaji haramu kaza najua wasiokupenda ni hawa wanaolipwa na mafisadi mauza unga kukuchafua mitandao hayafiki hata 500 ni mapumbavu na malofa kidogo tu yenye tamaa ya madaraka
 
Zipo kejeli nyingi kuwa ni nguvu ya soda, hata kama ni soda ukiweka gongo utalewa, kwa hiyo hii ni soda special-Rais Magufuli
Mimi nadhani ili mada inoge basi ungetuwekea hapa yale mafanikio yaliyokwisha kupatikana au mipango iliyo endelevu yenye tija ili tukubaliane. Maana kusifu tuu au kukosoa tuu bila takwimu haitatusaidia kama alivyo fanya mleta mada. Yeye kaonyesha tuu mapenzi yake.
 
Mie namkubali Magufuli,

sema kamati yake ya ufundi haiko right,

something is lacking,

ila mie naamini kabisaa Magufuli ana nia nzuri na Tanzania,wanaomuangusha ni wale wanaomzunguka wako soo passive,sijui wanamuogpa?is either wakae kimya au watoe matamko yasiyotekelezeka.
 
tatizo la hostel udsm ni la miaka na miaka ila magufuli amelisove dakika tu... pita near mcity ushangae... foleni njia ya mwenge.. bombardier nayo imefufua atc.... nchi inakimbia kwa kasi..

magufuli leo hata akigombea kenya au uganda anashinda jinsi wanavyomtamani

Mimi naona watu wa kutoka nje wanampigia salute wakiona picha tu wanalitamka jina lake hivyo hivyo japo wanalikosea....
 
najua wengi hasa wapinzani hamumpendi ila ukweli lazima niuseme

najua ila hili tuendelee lazima tukimbizane mchaka mchaka.. huoni aibu nchi ina miaka 50 ya uhuru.. ina amani tele.. ila hatuna mwakilishi hata wigan.. halafu tff inacheka cheka cheka tu.. uganda anaenda mataifa africa sisi tuna maeneo ya wazi kila sehem mtaani watu badala ya kucheza mpira wanavutia bangi na kuuziana madawa ya kulevya tu

unaenda nba unatimuliwa.. hizi zote ni ujamaa na kubembelezana kila sehem... magu nampenda yupo against kubembelezana kwenye swala la nchii

magufuli ongeza spidi baba.. mambo ya siasa siasa achana nayo...
Magufuli ni chaguo la Mungu kama kuna ambaye ana mchukia ni vyema akahama nchi na arudi 2025 maana sidhani kama ataweza vumilia mpaka miaka minane ipite.....
Mungu mbariki raisi wa nchi hii.
Mungu wabariki hawa watu wawili!
Mungu wabariki wananchi wote.
Amen..
 
najua wengi hasa wapinzani hamumpendi ila ukweli lazima niuseme

najua ila hili tuendelee lazima tukimbizane mchaka mchaka.. huoni aibu nchi ina miaka 50 ya uhuru.. ina amani tele.. ila hatuna mwakilishi hata wigan.. halafu tff inacheka cheka cheka tu.. uganda anaenda mataifa africa sisi tuna maeneo ya wazi kila sehem mtaani watu badala ya kucheza mpira wanavutia bangi na kuuziana madawa ya kulevya tu

unaenda nba unatimuliwa.. hizi zote ni ujamaa na kubembelezana kila sehem... magu nampenda yupo against kubembelezana kwenye swala la nchii

magufuli ongeza spidi baba.. mambo ya siasa siasa achana nayo...
Naunga mkono hoja, sisi wengine tumependekeza 2020 tusifanye uchaguzi wa rais, endelee mpaka 2025, kisha tubadili katiba aendelee tuu kama Mugabe. Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Na akiamua kupumzika 2025 then Makonda ampokee. Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Paskali
 
Back
Top Bottom