Hivi ni nani alietuingiza mkenge kuwa na vyama vya upinzani, CCM is not perfect lakini bora watu watoane macho humo kwa humo hao wengine uzushi tu wanawapa usalama kazi ya ziada.
CCM oyee, tuachane tu na uzushi wa western democracy mbona China wana chama kimoja na mambo mukide tu. I suggest vyama vya upinzani vifutwe tutoe wachawi ndani ya CCM it is possible you know kuliko kupoteza muda na pesa na wazushi (by the way sina chama cha siasa). Only that i think tuta punguza kazi za wengine kwenye kujenga taifa na kulinda kipato kuliko sasa na vyama njaa.
nawe pia una matatizo, kwa maelezo yako tu, wewe una chama tena kile wanachovaa nguo za kijani.