MZABIBUASILI
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 287
- 38
Khaaaaaaa!!ndugu zangu punguzeni munkariii basi najua unahasira nao sema basi tuuu...........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepatia kabisa nadhani umesoma historia ys TAA na TANU mpaka hii ccm na umeungana na kauli na maelezo ya mzee Muhamed Said nikweli waislam wa tanganyika wana hisa kubwa na ccm na ndio maana tunashindwa kukiacha chama kilicho asisiwa na wazee wetu na kupiganiwa kwa hali na mali ukisoma mwanzo wa ccm ni TANU na mwanzo wa TANU ni TAA na mwazo wa TAA ni waislam wa Tanganyika waliokuwa wakikosa haki zao za msingi kutoka kwa wakoloni wajerumani na wakoloni waengereza. Bila shaka ccm ni urithi wa waislam wa tanganyika kutoka kwa wazee wetuConspiring community of muslims (ccm)
Umepatia kabisa nadhani umesoma historia ys TAA na TANU mpaka hii ccm na umeungana na kauli na maelezo ya mzee Muhamed Said nikweli waislam wa tanganyika wana hisa kubwa na ccm na ndio maana tunashindwa kukiacha chama kilicho asisiwa na wazee wetu na kupiganiwa kwa hali na mali ukisoma mwanzo wa ccm ni TANU na mwanzo wa TANU ni TAA na mwazo wa TAA ni waislam wa Tanganyika waliokuwa wakikosa haki zao za msingi kutoka kwa wakoloni wajerumani na wakoloni waengereza. Bila shaka ccm ni urithi wa waislam wa tanganyika kutoka kwa wazee wetu
CCM imara
Kwa hali inavyoendelea nchini hasa hali ya kisiasa nakiri kwa nafsi na maandiko kuwa chama cha siasa kilichokizi vigezo ni chama cha mapinduzi (CCM) pekee na vingine ni vyama vya wanaharakati na wachumia matumbo ambaokwao siasa ni sehemu ya biashara ya kuendeshea maisha yao.,na katika hili nadhan hakuna mwanajamvi atakayenipinga.
Naomba wanajamvi waje tujadili ni sifa zipi zq chama cha siasa na kwanini CCM ndicho chama pekee cha siasa hapa nchini.
Umepatia kabisa nadhani umesoma historia ys TAA na TANU mpaka hii ccm na umeungana na kauli na maelezo ya mzee Muhamed Said nikweli waislam wa tanganyika wana hisa kubwa na ccm na ndio maana tunashindwa kukiacha chama kilicho asisiwa na wazee wetu na kupiganiwa kwa hali na mali ukisoma mwanzo wa ccm ni TANU na mwanzo wa TANU ni TAA na mwazo wa TAA ni waislam wa Tanganyika waliokuwa wakikosa haki zao za msingi kutoka kwa wakoloni wajerumani na wakoloni waengereza. Bila shaka ccm ni urithi wa waislam wa tanganyika.
Jaribu kuwa waelevu na sio kuelewa tu. Ni kweli mwanzo wa TANU ni TAA ila mwanzo wa CCM sio TANU bali (TANU & ASP). TANU, (TANU & ASP) ni vitu viwili tofauti. Kimoja kina asili yake 100% ni TAA na kingine ktk asili yake ni mchanganyiko wa TAA na mchanganyiko wa historia ya Zanzibar. Na utakapokuwa makini utagundua madhumuni, malengo na walengwa wa iliyokuwa TANU sio sawa na hii CCM, hasa unapokuwa unaizungumuzia hii CCM ya majina ya ccm mzigo/mtandao/janga/nk.
ukishaanza na uongo hata katikati ukisema ukweli mwisho utakuwa uongo tuu.Kwa hali inavyoendelea nchini hasa hali ya kisiasa nakiri kwa nafsi na maandiko kuwa chama cha siasa kilichokizi vigezo ni chama cha mapinduzi (CCM) pekee na vingine ni vyama vya wanaharakati na wachumia matumbo ambaokwao siasa ni sehemu ya biashara ya kuendeshea maisha yao.,na katika hili nadhan hakuna mwanajamvi atakayenipinga.
Naomba wanajamvi waje tujadili ni sifa zipi zq chama cha siasa na kwanini CCM ndicho chama pekee cha siasa hapa nchini.
Be serious, acha kuaibisha wanaccm, wajuze watu kwa nn unaamini hilo ukianza tutakusaidia, mwenyewe hata moja hujatuambia unataka sisi tukusaidie nini
chadema= chagga development manifesto.