dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,399
- 19,418
Ndo unaligundua leo hilo sio coca cola hata pepsi pia kimsingi sio nzur kabisa kunywa mara kwa mara hizi soda
Mi nimependa hizo ndizi..Jikoni kwako kusafi!
Embu tupe link ya ulikodownlodia io picha.Ni mchanganyiko wa sukari na gesi za mlipuko. Nimeitaimu hiyo chupa ilikuwa kwenye freezer
Halafu ukitaka kuona Iraq iangushe hiyo chupa kwa nguvu ipasuke.
Mimi nitaacha nitakaposikia mtu amelipuka tumbo.
Embu tupe link ya ulikodownlodia io picha.
Picha yenyewe ka download. Soda yangu pendwa hiyoUtoto huo
dhumuni lako kuu ni kuturingishia hayo matunda hapo.
Coke diet zipogo kumbe,mie kashamba bana nshazoea zile zenye karatasi jekundu na maandishi meupe
ikawaje sasa, toa maelezo ya kina wewe marketing manager wa pepsi