Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 392
- 579
Habari za wakati huu,
Bila kupoteza naomba mnipe ushauri either wa kitabibu au vyovyote.
ni mieza kadhaa imepita tangu hili tatizo nianze kuliona.
Nimekua nkishiriki mapenzi na mwanamke lakn sperm zinatoka kidogo sana tofauti na nlivyozoea.
mwenye kujua tiba ya hili tatizo naomba nipate maelekez nijitibie itapendeza zaidi kama itakua tiba ya asili au kienyeji..
Nawasilisha
Bila kupoteza naomba mnipe ushauri either wa kitabibu au vyovyote.
ni mieza kadhaa imepita tangu hili tatizo nianze kuliona.
Nimekua nkishiriki mapenzi na mwanamke lakn sperm zinatoka kidogo sana tofauti na nlivyozoea.
mwenye kujua tiba ya hili tatizo naomba nipate maelekez nijitibie itapendeza zaidi kama itakua tiba ya asili au kienyeji..
Nawasilisha