NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
Hali zenu Waungwana,
Naomba niende moja kwa moja kwenye kile kinachoniumiza nafsi yangu..
Nna mdogo wangu she is 27, anasoma South Africa na nna shemeji amemaliza
kusoma anafanya kazi U.S.A, ndoto ya shemeji yangu huyo ilikuanikuoa mdogo
wangu au ndugu yoyote sababu anasema amevutiwa na tunavyo ishi familia yetu.
sikumchukulia serious na ukizingatia familia yetu hua sana wanaoana mtoto wa shangazi
kwa mjomba,mtoto wa mama mkubwa kwa mama mdogo,ila mimi na bro wangu hatuku
taka hayo mambo na familia kwanza walikataa ila baadae wakakubali..
Sasa shemeji yuko tayari kuoa na anataka kumuoa mdogo wangu wa mwisho mimi sijapenda why sote tuolewe kwenye same family? na kwa tabia ya familia yangu hawa wanangu usishangae tena wakaja kuowana na watoto wa mdogo wangu ikawa baba zao ndugu mama zao ndugu nikifikiria hapo hua nachoka,
Ila nimewaelezea reason zangu walonielewa ni wachache,na kuna wengine wamefikia kusema kua simtakii mema mdogo wangu wakati mimi ndio nimemlea mpaka sasaivi na she is a Daughter to me,nampenda sanaaa na ananisikiliza, hapa nyumbani kwangu hubby hana ile furaha kama ya mwanzo sababu nimesema sio sawa bro wake kumuoa mdogo wangu,shemeji nae hana ile bashasha tangu niseme hivyo anaona kama vile nimekua mchawi wake,
Nimemweleza mdogo wangu khasa kwa nini staki ila nimemwambia kua furaha yake ndio
yangu alichosema ni kua sis kama unadhani its not okay niko na wewe kwenye hili,
ila naona kama atahisi najali nafsi yangu au sitaki aolewe,ivi nikisema asiolewe na shemeji yangu ntakua nimekosea? hakuna kipindi kigumu kwangu kama hiki wakati wa maamuzi kama haya ndio hua nalia sana namkumbuka Mama,angekuwepo lingekua jambo jepesi sanaa manake yupo mshauri,
Sasa hivi kuna wakati nafanya maamuzi sina wakumwambia zaidi ya kumuomba mungu aniongoze.
Haya naomba mchango wenu wa mawazo Waungwana..
Naomba niende moja kwa moja kwenye kile kinachoniumiza nafsi yangu..
Nna mdogo wangu she is 27, anasoma South Africa na nna shemeji amemaliza
kusoma anafanya kazi U.S.A, ndoto ya shemeji yangu huyo ilikuanikuoa mdogo
wangu au ndugu yoyote sababu anasema amevutiwa na tunavyo ishi familia yetu.
sikumchukulia serious na ukizingatia familia yetu hua sana wanaoana mtoto wa shangazi
kwa mjomba,mtoto wa mama mkubwa kwa mama mdogo,ila mimi na bro wangu hatuku
taka hayo mambo na familia kwanza walikataa ila baadae wakakubali..
Sasa shemeji yuko tayari kuoa na anataka kumuoa mdogo wangu wa mwisho mimi sijapenda why sote tuolewe kwenye same family? na kwa tabia ya familia yangu hawa wanangu usishangae tena wakaja kuowana na watoto wa mdogo wangu ikawa baba zao ndugu mama zao ndugu nikifikiria hapo hua nachoka,
Ila nimewaelezea reason zangu walonielewa ni wachache,na kuna wengine wamefikia kusema kua simtakii mema mdogo wangu wakati mimi ndio nimemlea mpaka sasaivi na she is a Daughter to me,nampenda sanaaa na ananisikiliza, hapa nyumbani kwangu hubby hana ile furaha kama ya mwanzo sababu nimesema sio sawa bro wake kumuoa mdogo wangu,shemeji nae hana ile bashasha tangu niseme hivyo anaona kama vile nimekua mchawi wake,
Nimemweleza mdogo wangu khasa kwa nini staki ila nimemwambia kua furaha yake ndio
yangu alichosema ni kua sis kama unadhani its not okay niko na wewe kwenye hili,
ila naona kama atahisi najali nafsi yangu au sitaki aolewe,ivi nikisema asiolewe na shemeji yangu ntakua nimekosea? hakuna kipindi kigumu kwangu kama hiki wakati wa maamuzi kama haya ndio hua nalia sana namkumbuka Mama,angekuwepo lingekua jambo jepesi sanaa manake yupo mshauri,
Sasa hivi kuna wakati nafanya maamuzi sina wakumwambia zaidi ya kumuomba mungu aniongoze.
Haya naomba mchango wenu wa mawazo Waungwana..