The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
huyu nitakaa nae kwa siri tu ni kama nimetulia still nipo available au?
aiseee lol
kama umetulia but what?
ha haa ndo tunahangaika kukushauri...hapa
but kama tunatwanga maji kwenye kinu lol
huyu nitakaa nae kwa siri tu ni kama nimetulia still nipo available au?
mnataka nitulieje? Nimetulia siku zote naishia kupata vimeoaiseee lol
kama umetulia but what?
Ha haa ndo tunahangaika kukushauri...hapa
but kama tunatwanga maji kwenye kinu lol
nikuulize kitu? Mwanaume akimfumania mke wake anaweza kurudiana nae?
to be honest sina uhakika kama alimfumania mkewe ila anaishi mwenyewe ana mwaka sasaso hiyo ndio imesababisha?..naomba kujua una hakika gani na hilo coz hawa binadamu wakiwa na pressure/tamaa chini ya vitovu vyao wanaongea lolote baya kwa wake zao watimize tamaa zao....kuna uhakika wowote ulionao wa kudhibitisha hilo?..(kutoka kwa mke)...!..nakusoma kama unasubiria divorce kamili ili ujimwage zaidi...(unahic kuna lililo jema mbeleni kama ikifanikiwa)...mtu anaeingia kwenye uhusiano bila kujali lengo la uhusiano huyo namuona kama desperate vile, unajaribu jaribu!
Since nimeona ni ngumu kupata the perfect man to stay with for serias relationship. Nimedecide kuwa na mwanaume mmoja hivi kutoana upweke na kukidhi tamaa zetu za kimwili.
Ni mume wa mtu but yupo available....(divorced partialy)
ni rafiki yangu kwa muda mrefu ni mzuri sana. To me its better this way
hatuna commitment towards each other tupo tu kupeana raha.
Sijali kuhusu future cause future huwa siioni naishia tu kuumia
nimekosea?
nikuulize kitu? Mwanaume akimfumania mke wake anaweza kurudiana nae?
That's why you need to be careful before opening.., angalia kwanza chungulia hata dirishani kwanza ni nani anayebisha hodi., utajua tu kama mtu anatamaa ya muda mfupi, atakuonyesha papara.., na kama anakupenda kweli utajua anakupendea nini.., it takes time to know someone, therefore before accepting someone as your lover, make them your friend.., no harm having friends..., soon or later utajua who is for real and who is a pretender.huwezi jua yupi wa kufungulia na yupi sio rafiki its soo hard to know
Since nimeona ni ngumu kupata the perfect man to stay with for serias relationship. Nimedecide kuwa na mwanaume mmoja hivi kutoana upweke na kukidhi tamaa zetu za kimwili.
Ni mume wa mtu but yupo available....(divorced partialy)
ni rafiki yangu kwa muda mrefu ni mzuri sana. To me its better this way
hatuna commitment towards each other tupo tu kupeana raha.
Sijali kuhusu future cause future huwa siioni naishia tu kuumia
nimekosea?
Unaishi katika style ya "friends with benefits"
imekula kwako,mkewe yupo mkoa mmoja nae?au yuko mkoa mwingine/nje ya nchi.wanaume waongo sana hajamfumania wala ninito be honest sina uhakika kama alimfumania mkewe ila anaishi mwenyewe ana mwaka sasa
aliniambia hamtaki tena
na mimi natafuta wa aina hii aisee[/QUOTE ur are welcome
Una Moyo mwenzangu mie mume wamtu apana kwanza wivu nilikua nao hata kama wametengana lakini still wamwenzio,kama ningekua mie nisinge kata tamaa mapema kwani wapo wengi wasio kua na dhiki za roho,muhimu ni kuvuta subra..Since nimeona ni ngumu kupata the perfect man to stay with for serias relationship. Nimedecide kuwa na mwanaume mmoja hivi kutoana upweke na kukidhi tamaa zetu za kimwili.
Ni mume wa mtu but yupo available....(divorced partialy)
ni rafiki yangu kwa muda mrefu ni mzuri sana. To me its better this way
hatuna commitment towards each other tupo tu kupeana raha.
Sijali kuhusu future cause future huwa siioni naishia tu kuumia
nimekosea?
Since nimeona ni ngumu kupata the perfect man to stay with for serias relationship. Nimedecide kuwa na mwanaume mmoja hivi kutoana upweke na kukidhi tamaa zetu za kimwili.
Ni mume wa mtu but yupo available....(divorced partialy)
ni rafiki yangu kwa muda mrefu ni mzuri sana. To me its better this way
hatuna commitment towards each other tupo tu kupeana raha.
Sijali kuhusu future cause future huwa siioni naishia tu kuumia
nimekosea?