kuna siku nilipost hapa kuomba ushauri kuhusu mahusiano yasiyo rasmi niliyotaka kuyaanzisha na bwana mmoja hivi ilisomeka hivi in red
Nimekosea ? Nipo sahihi? Please help
Since nimeona ni ngumu kupata the perfect man to stay with for serias relationship. Nimedecide kuwa na mwanaume mmoja hivi kutoana upweke na kukidhi tamaa zetu za kimwili.
Ni mume wa mtu but yupo available....(divorced partialy)
ni rafiki yangu kwa muda mrefu ni mzuri sana. To me its better this way
hatuna commitment towards each other tupo tu kupeana raha.
Sijali kuhusu future cause future huwa siioni naishia tu kuumia
nimekosea? nashukuruni kwa ushauri mlionipa,
nilisitisha mahusiano na yule bwana ingawaje alisikitika sana.kwa sasa ndio nipo alone but najisikia vizuri sana na Mungu ananibariki mno.namshukuru mungu kwa kunipa akili na uzuri hili nitawaeleza siku nyingine
Nimekosea ? Nipo sahihi? Please help
Since nimeona ni ngumu kupata the perfect man to stay with for serias relationship. Nimedecide kuwa na mwanaume mmoja hivi kutoana upweke na kukidhi tamaa zetu za kimwili.
Ni mume wa mtu but yupo available....(divorced partialy)
ni rafiki yangu kwa muda mrefu ni mzuri sana. To me its better this way
hatuna commitment towards each other tupo tu kupeana raha.
Sijali kuhusu future cause future huwa siioni naishia tu kuumia
nimekosea? nashukuruni kwa ushauri mlionipa,
nilisitisha mahusiano na yule bwana ingawaje alisikitika sana.kwa sasa ndio nipo alone but najisikia vizuri sana na Mungu ananibariki mno.namshukuru mungu kwa kunipa akili na uzuri hili nitawaeleza siku nyingine