Nimekosa msichana kisa ndevu

Ulikua unaepushwa janga labda. Fuga tu ndevu. Marafiki zangu wa kike wengi hawatapendi madevu
 
Ujitahid bas hata kuzipunguza maana watakukumbia sasa
Kuna siku nilikwenda saloon kuzipunguza urefu kidogo sasa jamaa akazikomba, aliniudhi sana na sikumlipa kabisa......tangu siku hiyo naona bora zibaki hivi hivi
 
Kuna siku nilikwenda saloon kuzipunguza urefu kidogo sasa jamaa akazikomba, aliniudhi sana na sikumlipa kabisa......tangu siku hiyo naona bora zibaki hivi hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
 
Hahaha,fisi kakosa zoga....!,anaumiiia,bro karibu kwenye team Ndevu ila ziwe zinamuonekano wakigentleman sio zile kama mwarabu wa wapi cjui,na we ni fisi kama fisi wengine sasa usiwaze,wenzio akakikosekana swala mmoja we go to the next one!,so be On to the Next one!,
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kunyoanyoa ndevu ni uboya unapunguza ugentlemen ndio maana vijana weng mchelemchele sana
 
hajakubagua bali amepata hofu kutokana na matukio yaliyotokea.....elewa hali halisi tu pole kwakukosa mtoto mzuri katoka mdomoi mwako
 
Kifo mkuu kinaogopwa sana. Mtu akiona viashiria hata kama siyo vya ukweli lazima hofu imjae.
Nyoa...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…