Jivue gamba la uzinzi na ukome kabisa!
ki2 kimoja hujaelewa ni kwamba sisi tunazungumza uhalisi wa ndoa kudumu kwa kupendana kutoka moyoni. kama utakutana na bikra ya kutengenza basi tayari huyo demu atakuwa tayari ameshakudanganya ali hali kwa upande wako utakuwa unampenda sana, yeye atakuwa na dharau kwako na huo ndo utakuwa mwanzo wa kuvunjika kwa ndoa yenu.
mie huko simo wakuu; hata mm wa kwangu niliitoboa mwenyewe, nikimkosea tu huwa moyo unanipasuka ka vile nimechomwa na msumari na siamini ka anaweza kunisaliti labda nimfumanie
nilikoswakoswa kufumaniwa na mama mkwe nikiwa na demu mwingine na siyo binti yake. Nimekoma japo binti yake aniridhishi. Wadau niambieni nifanyeje 2012?
Wewe ndio huyu huyu hapa chini?
Kama ni wewe USITUCHOSHE!!
Craaaaap
Wapi aliposema mama mkwe anamfichia siri?That spouse mother have a strategical purpose to sharin' with you for hide that ridiculous secret! It's just her character to achieve somethin' matter ! Sitoshangaa next year ukarudi na neno nae umemuangukia!
Nilikoswakoswa kufumaniwa na mama mkwe nikiwa na demu mwingine na siyo binti yake. Nimekoma japo binti yake aniridhishi. Wadau niambieni nifanyeje 2012?
Wewe ndio huyu huyu hapa chini?
Kama ni wewe USITUCHOSHE!!
ufanyeje?unauliza majibu? Mkwe mkwee!Nilikoswakoswa kufumaniwa na mama mkwe nikiwa na demu mwingine na siyo binti yake. Nimekoma japo binti yake aniridhishi. Wadau niambieni nifanyeje 2012?
Lizzy hujambo mama?
Heri ya mwaka mpya..