Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Siku hizi Wanawake wanahamia ma-ghetto-ni Boss wanaitwa mkeHivi kila mtu ana mke siku hizi!!?
Siku hizi Wanawake wanahamia ma-ghetto-ni Boss wanaitwa mkeHivi kila mtu ana mke siku hizi!!?
Kabla hata ya kupata wazo la kuandika huu uzi ulitakiwa uwe tayari umepiga chini Acha kufuga ujinga ndugu yanguBaba haijarishi yaan messages za ufuska na yupo huru sana mm nko mbali nae nmekuja likizo sasa kushika cm duuu wanawake kiboko napiga chin *****
Hivi sielewagi mtunzi wa wimbo huo alimaanisha nini haya maneno?sungura nipe karoti maharage sijazoeaaaa iokote
aigoo...! vipi yule mwanamke ambaye unahisi kakusingizi mimba mlimalizana au ndiyo huyu uliyechapiwaAsee nmeumia sirudiii tena kushika cm ya demu ,kuchapiwa kunauma jaman mke anauma , aseee mbudya kunanihusu nikapoteza mawazo
Ndo ukomage
Acha tu uchapiwe yaani mwanaume unashindwa kuandika 'Asante' unaandika 'Santee'Santee mkuu
JF kila mtu ana Mke, kila Mtu ana gari, JF kila mtu ana Nyumba, JF kila ana maisha mazuriHivi kila mtu ana mke siku hizi!!?
😄😄😄😄😄😄JF kila mtu ana Mke, kila Mtu ana gari, JF kila mtu ana Nyumba, JF kila ana maisha mazuri
Hatujui mkuu tatizo kubwa Nini.
1.hatuko romantic?
2.hatutoi pesa ya kutosha kwa ajili ya service?
3.hatuwagongi kisawa sawa na kuwakojoza?
4.???
Nini hasa ni sababu kubwa?
heri umenisaidia mkuuNmeshapiga chin mkuuKabla hata ya kupata wazo la kuandika huu uzi ulitakiwa uwe tayari umepiga chini Acha kufuga ujinga ndugu yangu
NashukuruAcha tu uchapiwe yaani mwanaume unashindwa kuandika 'Asante' unaandika 'Santee'
Asee nmeumia sirudiii tena kushika cm ya demu ,kuchapiwa kunauma jaman mke anauma , aseee mbudya kunanihusu nikapoteza mawazo
Sirudiii kabsa mkuupole sana mkuu siku nyingine ukiambiwa ya kaisari mwachie kaisari uwache kiburii ...
Sirudiii kabsa mkuu
Pole mwaya.Ya kawaida hayo.Maandiko yanasema onyaneni kwa upendo.Kama umemuonya Mara kadhaa pasipo mafanikio.Basi hakutakuwa na namna.Lakini kubadilisha sio suluhu waweza toa tatizo ukamleta tabu na mawazo.Sio kweli mkuu,, amin hili tukio limeniumiza sana
Pole kiongozi,ila fanya kutushushia japo sms mbili zilizokuvuruga!Sasa ntampa mpaka njegere na atakula tu sio kwa nliyoyashuhudia kwenye messages