Nimekoma kushika simu ya mke wangu

Nimekoma kushika simu ya mke wangu

pole sana mkuu kuacha sio kuwa sababu ni bora uwe wazi mm waqngu nilimwambia akifanya asisahu kuvaa kinga maana hawa viumbe ni shda sana mwanamke mwaminifu na mama yako mzazi tu ila poleeeeeeeeeeeeeeeee sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mjombaaaaaaaaaaaa ndo dunia yetu
 
Akinijibu hivyo aiseeee nawezw shusha kipigo kizito sana na namrudisha kwao straight.. sina muda mchafu mm wa kudharauliwa kias hiko.
Yaani kuchapiwa inauma sana. Alafu unakuta mwanamke anakukandia kwa jamaa huyu boyaa wangu hamna kitu kabisa.

mbaya zaidi ukute hadi tigo anagawa...ukiuliza anakwambia SO WHAT?
 
Back
Top Bottom