Nimekoma kushika simu ya mke wangu

Nimekoma kushika simu ya mke wangu

Jamii forum imekuja kuaje?mtu anaomba ushauri anasononeka nafsi yake,anaumia nafsi yake badala uchukulie tatizo la mwenzako Kama lako then umshauri unaanza kumcheka na kumdhihaki why? But nimekuja kugundu wengi wanao comment ujinga kwenye swala la muhimu na la serious wote ni mabachela so anachukulia Kama mwenza kalambiwa girl friend. Mke syo girlfriend, mke ni zaidi ya girlfriend na ni sehemu ya maisha yako .
Ukimaliza kugundua kuwa wengi ni mabachela.Pia ugundue Kuna wanaotuma Visa vya kutunga.Hawajaoa hata mchumba tu hawana.Inaudhi unajipinda kumshauri mtu kitu ambacho hakipo.
 
Ukimaliza kugundua kuwa wengi ni mabachela.Pia ugundue Kuna wanaotuma Visa vya kutunga.Hawajaoa hata mchumba tu hawana.Inaudhi unajipinda kumshauri mtu kitu ambacho hakipo.
Sio kweli mkuu,, amin hili tukio limeniumiza sana
 
Uzi gani huu si useme ulikutana na,kitu gani bana
Nko nae mbali ,npo likizo cku nmevizia cm Yake ni balaa anagongwa na washikaji wengi asee meseji chafu nmeumia sana haya maviumbe hapana
 
Kama hujajiandaa kuvunja kabisa mahusiano na mapenzi USIGUSE SIMU YA MWENZI WAKO.
 
Back
Top Bottom