Lenin V.I.U
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 218
- 62
Na mumewe akija kukolea kwako usishangae.
Kama kawaida hunter nimeibua mke wa mtu, anavutia huyo, nimemuweka kwe sita kwa sita nikampeleka mwenyewe kakubali shughuli, ki ukweli mtoto wa kike kanikoleza ila tu ana ki mimba kama cha miez miwili, tulipo maliza shughuli akanambia "Lenin ngoja hili tumbo litoke nikupe mamboz kisawa sawa" wadau nisaidien ushauri kakolea nimekolea kaniahd makubwa tumbo likitoka
Anza kutembea na KY jelly...maana hujui siku wala saba utakayoliwa TiGo...
Hivi hili nalo jambo lakuja kujisifia???
Wengi hatujui sheria za bongo zilivyo nzuri. Mwenye mali anaweza kuja na mundu ya kufyekea majani akakata kitendea kazi cha mleta hoja na kutupa halafu akashtakiwa kwa kujeruhi tu. Unaweza kukuta faini yenyewe ni elfu 60 tu. Lakini kitendea kazi kishaliwa na paka vichakani uko.
Hali Ya marinda yako matatani...rest in peace marinda!
Kama kawaida hunter nimeibua mke wa mtu, anavutia huyo, nimemuweka kwe sita kwa sita nikampeleka mwenyewe kakubali shughuli, ki ukweli mtoto wa kike kanikoleza ila tu ana ki mimba kama cha miez miwili, tulipo maliza shughuli akanambia "Lenin ngoja hili tumbo litoke nikupe mamboz kisawa sawa" wadau nisaidien ushauri kakolea nimekolea kaniahd makubwa tumbo likitoka