Nimekitupilia mbali rasmi King'amuzi cha Startimes

Nimekitupilia mbali rasmi King'amuzi cha Startimes

mdesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
1,373
Reaction score
2,251
Ni king'amuzi cha Startimes, baada ya kuona hakioneshi vizuri Chanel za IPP media especially ITV. Nilidhani ni kwangu tu, ila nimeona na jamaa zangu ni hivyo hivyo. Nilitamani nikikanyage kabisa. Nimefunga kingine, hata mabango ya Startimes sitaki kuyaona.
 
Hongera kwa kununua king'amuzi kipya, Mimi nimeshasahau...
 
Kwaiyo tujue umenunua king'amuz kipya!!

Sijapenda kuingilia budget yangu ila wameniboa kila ikifika taarfa ya habari scratch zinaanza hasahsa ITV hivi vya star times havifai
 
Star tomes ving'amuzi vyao vina ubora wa hali ya chini sana, nilinunua nikakaa nacho siku1 nikaona kinazingua na channel zao cheap nikakitupilia mbali. Unaangalia tv kuna matangazo yao kibao yanapita juu na chini, mero sana!
 
Mimi changu nilikaa nacho week mbili tu nikatupa karibu Azam TV, the best local digital tv provider
 
Yeyote yule mwingine mwenye maradhi ya kutupa vitu vikiwakera , visimbuzi,wake zao ,gari zao ,mifugo yao .wani pm mimi ndiye mwokota takataka mahiri majumbani!
 
MSG hapa ni kwamba, Star times waache kujiendesha kwa msukumo wa kisiasa. ITV na TV na EATV hazionekani vizuri kwa takribani week mbili sasa. Jambo hili linachukuliwa kama surbotage.
 
MSG hapa ni kwamba, Star times waache kujiendesha kwa msukumo wa kisiasa. ITV na TV na EATV hazionekani vizuri kwa takribani week mbili sasa. Jambo hili linachukuliwa kama surbotage.

Nauliza king'amuzi gani kisichoonesha ITV na EATV? hizi chanel sizipendi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom