Nimekereka Sana na wanaoniona malaya

Nimekereka Sana na wanaoniona malaya

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,359
Nakwera nawatu wanaoniona Malaya humu .
Ni hivi mjue Hili xmass nisiku ya kufurahia sio yakukerwa na mtu kaungua zake anastress sana.

Mwanaume ukishaoa wake zaidi ya mmoja sio Suna ni UMalaya .

Sijaomba humu kuolewa by force nimemove on.

So kama. Mtu anadai nimewalala na malegend wa humu ni kwamba watu ndio humu wanaambiana.


Mimi sipendi kuchafuliwa hata kama ID hizi sio za kweli. Hakuna no one na mdepend Kwa lifestyle langu.

Good day.
 
Nakwera nawatu wanaoniona Malaya humu .
Ni hivi mjue Hili xmass nisiku ya kufurahia sio yakukerwa na mtu kaungua zake anastress sana.

Mwanaume ukishaoa wake zaidi ya mmoja sio Suna ni UMalaya .

Sijaomba humu kuolewa by force nimemove on.

So kama. Mtu anadai nimewalala na malegend wa humu ni kwamba watu ndio humu wanaambiana.


Mimi sipendi kuchafuliwa hata kama ID hizi sio za kweli. Hakuna no one na mdepend Kwa lifestyle langu.

Good day.
Pole sana Ndugu, hio ni kawaida sana kwenye social media zozote
 
Back
Top Bottom