Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
- Thread starter
-
- #41
Yes mie sio wakawaida nipo serious kabisa husifikiri nakudanganya eti , nipo serious .Kwaiyo wewe siyo wa kawaida aisee wanawake mlipofikia mmh!
Mie Nina mchumba nimempata tayari ila sio humu ila nimemfungulia jamii forum account yupo humu na huu Uzi ameusoma .Aisee, sonona is real wakuu.
Dada anahitaji msaada wa haraka apate mume, maana kajitahidi sana ila wadau mnampotezea tu.
Dada wadau wakija pm usiwe mgumu kwenye swala la utelezi sasa sawa.
Wadau mi nshawapigia pande nendeni dm sasa, kila kitu nsharekebisha.
Nani amtake kamtu kachagga kanapanga kamekomaa vima"""""tk vinaangaliana Kwa huzuni wanapika njee watu wapo hawajaoa wamejenga wanapesa wametulia utaona tu soon ngojaUkweli ni kuwa ulikuwa unamtaka bwana wa mwenzako.
Baada ya kushtukiwa unakasirika na kutafuta visababu vya kujustify madhaifu yake.
Saikolojia tunaiita '
Defensive physiological reactions to rejection'
Ulipotelea wap BossPsycho is real
Mmh 😀😃😃😃😄😄😄 hivi vijitu vingine shenzi tu nimtake mwenye kuishi nyumba ya mwanaume mwingine ???So sina nyumba..., so kuna zenye room mbili.., so kuna huyo dada kaolewa... Yaani nimechoka na hizo so, so kabla sijamaliza hata kusoma. Ila, samahani, mimi nahisi wewe ndio chanzo cha tatizo kama siyo tatizo lenyewe. Msema kweli mpenzi was Mungu.
Ukikasirikaga unaandika kijapani eee😂😂😂Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .
Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .
Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .
Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.
Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.
Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??
Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.
Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
Wewe kamanda kwani unauza😂😂😂😂Ukisema mtu utembee na mume wa mtu sio tz watu wanahela sa wa ila ni zamzunguko na zamikopo kibao Sasa akupe Nini za uchuma ulete za damu za watu za ushirikina mara achukue nyota ya Nini mnikome
Nope atakuongezea Giza hutoonekana usifikiri unapewa miorsa na matajiri tatizo ukiwa nao nyota Yako inang'aa unaonekana .Wewe kamanda kwani unauza😂😂😂😂
Asiyekuwa na pesa humvulii chupli?😂
Kwani dyudyu haisisimke tena?🤣🤣🤫Nope atakuongezea Giza hutoonekana usifikiri unapewa miorsa na matajiri tatizo ukiwa nao nyota Yako inang'aa unaonekana .
Ila hiyo ni zamani saivi mie sijisikii kulalana na hao Wala yeyote kabisa napoteza muda tu
Wala kabisa nikiwaona naona kawaida tuKwani dyudyu haisisimke tena?🤣🤣🤫
Florida,umelewa?Mbona haueleweki?Halafu,punguza hizo "so"!Zimekuwa monotonous!Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .
Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .
Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .
Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.
Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.
Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??
Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.
Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
Achana na mjapani wetu🤣😂Florida,umelewa?Mbona haueleweki?Halafu,punguza hizo "so"!Zimekuwa monotonous!
Ukiona mtu haelewi basiFlorida,umelewa?Mbona haueleweki?Halafu,punguza hizo "so"!Zimekuwa monotonous!
Sawa bahnaaAchana na mjapani wetu🤣😂
Japonee yetu iko na mayele ya mingi!😂😂😂Achana na mjapani wetu🤣😂
Kausha kamanda unaharibu🤣Japonee yetu iko na mayele ya mingi!😂😂😂
Poa ndio uandishi wawatu wengine ila kama mtu anaamua kukuchokoza kwenye kamba kwenye dirisha lako kwenye kila kitu silazima upigane heshima iwepo Sasa unapangiwaje nguo zako ulizozianika??Mh aisee, ila nakushauri usipigane basi, mengine sijaelewa pamoja na kujitahidi kusoma mara 2.
Sent using Jamii Forums mobile app